King Suleiman
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 496
- 329
Sasa sijui intelejensia ya Mwema ipo wapi? JK unafanya nini?
Mkuu mbona ulipandisha chart sana hili gazeti, hiki kipeperushi hakistahili kupoteza muda wetu kama great thinkers, ni sawa na toilet paper fulani. Kule kwetu ambako tunajisaidia machakani hiki kingefaa sana kusambazwa huko
Pole sana ndugu yangu Mfalme Suleiman, mwenye busara.
Nchi inaelekea kubaya. Bila kuficha redio Imaan na Alnuur yamebadilika sana pindi hii. Mimi ni msomaji wa Al-nuur tangu 1999. Lakini kutokana na mwelekeo lilikuwa nao siku hizi nimeliacha kabisa. Maana haliongei hata chembe mawaidha ambayo yatamjenga Muislamu au hata jamii kwa ujumla. Ni hatari sana.
mtoto wa nyoka ni nyoka, mtoto wa shetani ni shetwani, dini ya shetani ni shetani tu hata ifanyeje, hata ikijifanya mpole au mnyenyekevu, mfuga majini ni mfuga majini tu habadiliki, kuanzia roho nafsi na mwili....kwa wale wenye uelewa sawa na wangu, kilichobaki ni KUPIGANA VITA VYA ROHO na si vya mwili, manake vya mwili wanaweza sana, ila vya roho hawawezi kabisa. wengi wameshashindwa vya rohoni ndo maana makucha ya mwilini yanachipua....mwenye sikio la kusikilia na asikie, mwenye akili na aelewa niyasemayo!
Salaam wana JF,
sina nia ya kuanzisha uhasama wa kidini kwenye hii mada,
lakini palipo na ukweli ni lazima usemwe kwa faida ya jamii husika.
gazeti letu pendwa la An-Nuur silielewi lina mwelekeo gani kwa sasa na hususani toka kipndi cha uchaguzi mpaka sasa vuguvugu la katiba mpya. Ni siasa za uchochezi ndio zimetawala kati kurasa zote za gazeti, mara CHADEMA mara maaskofu wht is this?
kama kuna mtu amebahatika kulisoma hili gazeti la ijumaa tar. 14-20/1/1011, ataungana na mimi moja kwa moja kwamba hili gazeti limeacha msingi wake na kupapatikia siasa na uchochezi wa kidini badala ya mafundisho ya kidini kama tunavyotarajia.
waislam wengi hununua gaziti tukitarajia mafundisho angalau ya kiroho na mada za kifamilia, lakini hakuna kitu ni uchochezi wa kidini na siasa chafu kama vile ni gazeti la chama fulani cha siasa,
hayo pia yapo kwa ndg zetu Radio Imaan.
jamani vyombo vyetu vya habari vya kiislam ninani katuroga mpaka mmefika hapa mlipo? Sisi adui yetu mkubwa ni shetani na sio ukristo wala dini yoyote. Tufundisheni mafundisho ya Mtume na maadili mema ya dini sio siasa.
mwisho,
moto wa gazeti letu ni "Sauti ya waislam" . Kwa mtindo mlionao si sauti ya waislam wote, wengine sasa hatununui hilo gazeti maana hamna dini ni mambo yale yale tunayoweza kuyaona kwenye UHURU,MZALENDO,RAI,HABARI LEO na mengine...
Siwezi kuwa adui kwa kusema ukweli.
Suleiman.
Mkuu mbona ulipandisha chart sana hili gazeti, hiki kipeperushi hakistahili kupoteza muda wetu kama great thinkers, ni sawa na toilet paper fulani. Kule kwetu ambako tunajisaidia machakani hiki kingefaa sana kusambazwa huko
mtoto wa nyoka ni nyoka, mtoto wa shetani ni shetwani, dini ya shetani ni shetani tu hata ifanyeje, hata ikijifanya mpole au mnyenyekevu, mfuga majini ni mfuga majini tu habadiliki, kuanzia roho nafsi na mwili....kwa wale wenye uelewa sawa na wangu, kilichobaki ni KUPIGANA VITA VYA ROHO na si vya mwili, manake vya mwili wanaweza sana, ila vya roho hawawezi kabisa. wengi wameshashindwa vya rohoni ndo maana makucha ya mwilini yanachipua....mwenye sikio la kusikilia na asikie, mwenye akili na aelewa niyasemayo!
Mkuu mbona ulipandisha chart sana hili gazeti, hiki kipeperushi hakistahili kupoteza muda wetu kama great thinkers, ni sawa na toilet paper fulani. Kule kwetu ambako tunajisaidia machakani hiki kingefaa sana kusambazwa huko
Kwa taarifa yako Uislamu hautenganishwi na Siasa! ktk Uislamu hakuna falsafa ya KAISARI MPE KAISARI na YA MUNGU MPE MUNGU! Enzi za utawala wa kidikteta umepitwa na wakati huu ni wakati wa mtu au kutoa maoni yake bila uoga mradi asivunje sheria!
Gazeti la Annur ni gazeti halali kabisa limeandikishwa kisheria na hufuata maadili ya uandishi wa habari! Mhariri wake O. Msangi namfahamu binafsi ni msomi na muadilifu na uchambuzi wake wa habari ni wa kina na uliofanyiwa utafiti! haandiki kibubusa bali anachoandika huwa naushahidi!
Sasa kama wewe King Suleman unategemea Gazeti la Annur liwe linaandika habari za pepo na moto na ahera tu, ningekushauri ukanunue vitabu viko vingi vyenyekuelezea habari za Ahera! lakini Annur halitawacha kuandika makala yoyote muhimu zinazohusu uhusiano wa mtu na mola wake, na uhusiano wa mtu na jamii yake inayoizunguka!
Unataka kuturudisha ktk enzi za ukiritimba wa Awamu ya kwanza na kauli ya "USICHANGANYE DINI NA SIASA" kauli hii haina nafasi ktk dunia ya leo ya utandawazi, uwazi, uhuru wa vyombo vya habari, nk!
Ndugu yangu kama wewe umechoka kulisoma hili gazeti hakuna anaekulazimisha! magazeti yako mengi, kuna TANZANIA DAIMA; MWANANCHI; RAIA MWEMA, MWANAHALISI na hata ukitaka magazeti ya udaku na umbea pia utayapata! ukitaka kusoma habari za ngono salama au ngono hatari pia yako magazeti ya aina hiyo nk. nk.
Mwisho, nakushangaa kushambulia gazeti la Annur lakini umeshindwa kuona hayo magazeti mengine yanayochochea ufuska na kusababisha gonjwa baya la ukimwi lisiishe nchini mwetu kwasababu ndio yanayosomwa kwa wingi![/QUOTE]
Nashukuru kwa ushauri wako ndg yangu,lakini angalia msingi wa gazeti letu je upo sahihi kushabikia siasa za upande mmoj? je siku Chadema wakimuweka candidate wa kiislam kwenye post ya uraisi na CCM wakamuweka mkristo, gazeti letu liko tayari kulamba matapishi kwa kuwasifia chadema wanao waona mashetani na kukiponda ccm wanaowaona wako safi?
kama kweli wanataka kuandika habari za siasa basi wawe neutral na fair kwa kila kada na hiyo ndiyo misingi bora ya tasnia ya habari, kwa mtazamo wangu, naamini gazeti letu linatumiwa na mtu au taasisi fulani kuandika wanayoandika kwa kisingizio cha uhuru wa habari, mbona zamani waliandika mambo mema?
hapo penye bluu,
ndg yangu sio kwamba nashabikia magazeti ya kifilauni na vipeperushi vya ngono. mimi ni mmojawapo wa watu wanaoshambulia sana hivyo vijarida, na sina nia mbaya n gazeti la AN-NUUR, ila natamani warudi kwenye reli, nayapinga sana magazeti machafu na picha zake mkuu, ila leo nimeona nisikune wenzangu tu na mimi nijikune na kujisafisha kwanza
Hongera Suleiman umejitahidi kuji-disguise sana, ila hukuweza kuficha yaliyo moyoni mwako! Wakati siungi mkono An-nur au gazeti lolote la kidini kuwa la kisiasa, siamini kulaumu vijarida ndio njia sahihi. Ungeanza kuwalaumu maaskofu wanaoingilia siasa mpaka wanafikia kuchagua meya wa kumtambua ! Au maaskofu walio anzisha CHRISTIAN DEMOCRATIC MOVEMEMT (CDM) ambayo imeapa kuifanya Tanzania isitawalike kwa kushadidia vurugu! P.S Waislamu hawatumii sana neno (kiroho) kama ulivyotumia wewe kwenye heading yako! Hapo ume-reveal your true identity!Salaam wana JF,
sina nia ya kuanzisha uhasama wa kidini kwenye hii mada,
lakini palipo na ukweli ni lazima usemwe kwa faida ya jamii husika.
gazeti letu pendwa la An-Nuur silielewi lina mwelekeo gani kwa sasa na hususani toka kipndi cha uchaguzi mpaka sasa vuguvugu la katiba mpya. Ni siasa za uchochezi ndio zimetawala kati kurasa zote za gazeti, mara CHADEMA mara maaskofu wht is this
kama kuna mtu amebahatika kulisoma hili gazeti la ijumaa tar. 14-20/1/1011, ataungana na mimi moja kwa moja kwamba hili gazeti limeacha msingi wake na kupapatikia siasa na uchochezi wa kidini badala ya mafundisho ya kidini kama tunavyotarajia.
waislam wengi hununua gaziti tukitarajia mafundisho angalau ya kiroho na mada za kifamilia, lakini hakuna kitu ni uchochezi wa kidini na siasa chafu kama vile ni gazeti la chama fulani cha siasa,
hayo pia yapo kwa ndg zetu Radio Imaan.
jamani vyombo vyetu vya habari vya kiislam ninani katuroga mpaka mmefika hapa mlipo? Sisi adui yetu mkubwa ni shetani na sio ukristo wala dini yoyote. Tufundisheni mafundisho ya Mtume na maadili mema ya dini sio siasa.
mwisho,
moto wa gazeti letu ni "Sauti ya waislam" . Kwa mtindo mlionao si sauti ya waislam wote, wengine sasa hatununui hilo gazeti maana hamna dini ni mambo yale yale tunayoweza kuyaona kwenye UHURU,MZALENDO,RAI,HABARI LEO na mengine...
Siwezi kuwa adui kwa kusema ukweli.
Suleiman.