Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Waungwana labda tuanzishe kampeni ya kuandika barua kali dhidi ya ubalozi wa China kuhusu kujiingiza katika siasa za ndani za nchi yetu ambazo haziwahusu hata kidogo. Barua hii/hizi (z)ipelekwe UN na kwenye vyombo vya habari mbali mbali duniani na pia ubalozi wa China kuuambia ubalozi huo kwamba Watanzania hatutaki kabisa wajihusishe na siasa za nchini kwetu na kuacha kufanta kazi zao za kibalozi zilizowaleta nchini.
ni wazo zuri sana naona tunge tebgrneza email halafu tuitume kwa wa mbalimbali ili waitume china na un..