meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
Ben!wewe uko katika position nzuri ya kumkumbusha @Dr W.P.Slaa acha kulalama mwambie ukweliHii ni kweli.Hata kwa baadhi ya wanasiasa haya masuala ya kimataifa ni kama vile hawajui.Inashangaza sana sana na kuna uwezekano tukapata Rais ambaye ni ignorant kabisa kwenye masuala ya kimataifa.Misconduct iliyofanya na Diplomats hadi muda huu masaa 48 yanakaribia kupita lakini hakuna kiongozi wa juu wa vyama vya upinzani anayeona hatari