Cheti si uwezo baba. Huenda mwenzio alijibu kwa ufasaha maswali yote kushinda wewe na gpa yako. Siku hizi unaangaliwa uwezo na sio vyeti. Umenikumbusha forum flani, facilitators 5, mmoja wa USA, holland, uganda, kenya na mtz 1. Wote wana digrii moja moja ila mtz tu ndo ana phd. Akisimama kupresent mada unataka kuingia chini ya meza kujificha. Hata intern mkenya ana nafuu.