Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,975
- 134,086
Kwenye matawi kadhaa ya NMB nimeona kampango ka kitapeli ka kuweka pipi counter!
Sijui lengo lao ni nini hasa. Lakini kama makerting wenu kawaambia ni customer care basi kawatapeli.Tunawaletea malalamiko meengi kuhusu huduma zenu,badala ya kutatua mnaletea pipi.
Kabisa afisa wa benk anapita kwenye foleni kugawa pipi wakati madirisha kadhaa hayana tela,wakati kule nje ATM hazitoi huduma,wakati mtandao mbovu, wakati masista duh wenu wanawabedulia midomo wateja wenu.Hatutaki pipi tunataka huduma bora na za haraka, unless mseme kama mnaona raha kutuona na foleni reeefu.
Sijui lengo lao ni nini hasa. Lakini kama makerting wenu kawaambia ni customer care basi kawatapeli.Tunawaletea malalamiko meengi kuhusu huduma zenu,badala ya kutatua mnaletea pipi.
Kabisa afisa wa benk anapita kwenye foleni kugawa pipi wakati madirisha kadhaa hayana tela,wakati kule nje ATM hazitoi huduma,wakati mtandao mbovu, wakati masista duh wenu wanawabedulia midomo wateja wenu.Hatutaki pipi tunataka huduma bora na za haraka, unless mseme kama mnaona raha kutuona na foleni reeefu.