Nkoo,Nko,Nkoooooo Hodi Jamani!

Aug 10, 2011
72
14
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa hii forum,sasa nimeamua kuwa active member ili nami nitoe dukuduku zangu za kumoyo.
Naomba kukaribishwa tafadhari.
 
Mbona unagonga kwa nguvu sana?
Halafu unatumia bunduki kupasua mlango...huh!..
Angalia kuna mtoto sebuleni usije ukamuumiza!
 
Back
Top Bottom