CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
WANANCHI WA NKOME WANANYANYASWA KWA KUPOKONYWA NYAVU NA KUWEKWA NDANI NICHAGUENI NIWE RAIS WA NCHI HII TUMALIZE TATIZO LA UNYANYASAJI"PROF. LIPUMBA"
Mgombea Urais wa jamhuri ya muungano wa tanzania Prof. Lipumba amesema hayo katika mkutano wa kampeni uliyofanyika kata ya nkome, Kijiji cha nkome wilayani geita vijijini.
MCHAGUE PROF. LIPUMBA
RAIS MAKINI,
SERIKALI MAKINI