fatherhood
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 530
- 551
Huu ni uzi wangu wa pili kuhusu kulipwa fidia, hii ni kwa sababu watu wengi kila siku wanapata ajari na wakifatilia fidia wanaishia kati kutokana na hatua nyingi au wengine kupotezea kutokana hawajui waazie wapi.
Mi ya kwangu ni hivi nilipata ajar mwezi wa kumi, sasa kuna ndugu yangu anafatilia ila ameambiwa kesi ipo mahakaman hii inamaana kama mambo ya fidia baada ya maamuzi ya mahakama bado tupo kwenye hatua ya kusubiri.
Sasa kama wewe ulishawahi kupata ajari na ukalipwa fidia njoo utupe experience yako ya kufatilia kesi za fidia , kwa kutuambia process zote ulizopitia hadi kupata fidia yako.
Hii sio lazima uwe uliwahi pata ajari lakini pia kwa yetote anayejua jinsi ya kufatilia fidia.
Karibuni sana.
Mi ya kwangu ni hivi nilipata ajar mwezi wa kumi, sasa kuna ndugu yangu anafatilia ila ameambiwa kesi ipo mahakaman hii inamaana kama mambo ya fidia baada ya maamuzi ya mahakama bado tupo kwenye hatua ya kusubiri.
Sasa kama wewe ulishawahi kupata ajari na ukalipwa fidia njoo utupe experience yako ya kufatilia kesi za fidia , kwa kutuambia process zote ulizopitia hadi kupata fidia yako.
Hii sio lazima uwe uliwahi pata ajari lakini pia kwa yetote anayejua jinsi ya kufatilia fidia.
Karibuni sana.