Una uhakika gani kuwa wewe ni MtakatifuUsishangae, mkuu. Huu ni wakati wa kumzodoa shetwani, kiumbe wa hovyo
Mungu anaona furaha kukaa na mimi kwakuwa mimi ni mtakatifu, halafu wewe unaniuliza nina uhakika gani kuwa mimi ni Mtakatifu?!Una uhakika gani kuwa wewe ni Mtakatifu
Kipi kinakupa uhakika wa kuwa Mtakatifu sawa na Mitume mpaka upate kiburi cha kuvunjia heshima mambo yaliyozidi uwezo wako binadamu???
Jifunze kuwa na woga wa mambo makubwa wakati mwingine inaweza kukugarimu kwasababu wewe sio mkamilifu
Setfree
Kumbe ukiimba umemzodoaShetani ameaibika, amezodolewa
View attachment 3460399
Lyrics
Verse 1
Yo devil, you fake, you plastic-teeth pretender
Thought you were tough but the cross was your surrender
You roar like a lion but you just a house cat
Jesus crushed your head, now where you at?
Chorus
Shetani ameaibika, amezodolewa
Jesus is the King, the Lion of Judah yuko juu forever
Shetani ameaibika, amezodolewa
Jesus is the King, the Lion of Judah yuko juu forever
Verse 2
You tried to tempt the Son but failed miserably
Cross left you broken, defeated completely
I got authority, power in His name
Devil you're finished, put to shame
Wala hauna changamoto kubwa za kuogopa kiasi hicho, wala hauna adui anayekutesa sana ni attention kubwa sana umeiweka ndani ya nafsi yako, uko salama usiogope sanaMungu anaona furaha kukaa na mimi kwakuwa mimi ni mtakatifu, halafu wewe unaniuliza nina uhakika gani kuwa mimi ni Mtakatifu?!
Zaburi 16:3
Ni bora sana hao watakatifu walioko nchini, kukaa nao ndiyo furaha yangu.
🤣🤣Kwa nyimbo za siku hizi zinazoitwa gospel akisikia zinaimbwa naye anakuja kucheza kabisaAnazodolewa kwa njia zote. Kwa maneno, kwa nyimbo nk nk