Njoo tu refresh tukisubiri wekeend

Njoo tu refresh tukisubiri wekeend

Tulikaa pale Ubungo Plaza kulikuwa kuna Hotel inakuwa inaitwa Blue Pearl, tukala pizza na tukanywa juice na akailipia ile menu yote.
Mtu alilipia kabisa bill still uka escape 😢
Si ungesubiri muagane ndiyo umpotezee juu kwa juu?
Nikajiongelesha na simu lujifanya nina dharura alielewa na yeye kwao ilikuwa ni Kimara huko. Nilipotoka pale nikaamua kumpiga tofali kabìsa lakini nilijilaumu sana

Ulimjeruhi maskini dah 😢😢
 
Mtu alilipia kabisa bill still uka escape 😢
Si ungesubiri muagane ndiyo umpotezee juu kwa juu?
Hata hakujeruhika na lolote mbona tulipiga story fresh sema picha niliyokuwa nayo na vile nilivyomuona aisee nilikuwa nimefeli vibaya sana
 
Hata hakujeruhika na lolote mbona tulipiga story fresh sema picha niliyokuwa nayo na vile nilivyomuona aisee nilikuwa nimefeli vibaya sana
Sasa mbona unasema ulijilaumu?

Au ungemfanyia finishingiii kaka 😂
 
Kwani wanaume wenzangu ninyi huwa mnawapa pesa kiasi gani rafiki zenu wanawake wasio wake zenu na wala sio malaya?

Kuna binti nimefahamiana nae kwa almost miaka miwili sasa, jana kanipigia simu tukutane kwamba kuna vitu anataka tuongee, nikamwelekeza sehemu ya kukutania akaja, tukala na kunywa, akanieleza shida yake tukaongea kwa mapana na nikampa ushauri kutokana na shida yake

Mpaka tunamaliza kuongea ilikuwa ni kama saa mbili usiku, nikamwambia tuagane kila mtu arudi kwake na nikampa pesa kiasi cha 80k/=

Baada ya kuwa ameipokea ile pesa akawa ni kama ana hasira na anataka kulia hivi, nikauliza shida nini hakujibu chochote ila kutokana na matatizo aliyokuwa ameniambia nikachukulia easy tu, nikampeleka mpaka kituo karibu na anapoishi akapanda boda kaondoka

Sasa tokea jana hiyo, najiuliza shida itakuwa ni nini haswaa, pesa? Kuna kitu nilikosea ! au nini haswa, wakuu naomba kujua kama kuna mtu amekutana na issue kama hii.
 
Kwani wanaume wenzangu ninyi huwa mnawapa pesa kiasi gani rafiki zenu wanawake wasio wake zenu na wala sio malaya?

Kuna binti nimefahamiana nae kwa almost miaka miwili sasa, jana kanipigia simu tukutane kwamba kuna vitu anataka tuongee, nikamwelekeza sehemu ya kukutania akaja, tukala na kunywa, akanieleza shida yake tukaongea kwa mapana na nikampa ushauri kutokana na shida yake

Mpaka tunamaliza kuongea ilikuwa ni kama saa mbili usiku, nikamwambia tuagane kila mtu arudi kwake na nikampa pesa kiasi cha 80k/=

Baada ya kuwa ameipokea ile pesa akawa ni kama ana hasira na anataka kulia hivi, nikauliza shida nini hakujibu chochote ila kutokana na matatizo aliyokuwa ameniambia nikachukulia easy tu, nikampeleka mpaka kituo karibu na anapoishi akapanda boda kaondoka

Sasa tokea jana hiyo, najiuliza shida itakuwa ni nini haswaa, pesa? Kuna kitu nilikosea ! au nini haswa, wakuu naomba kujua kama kuna mtu amekutana na issue kama hii.
Peleka moto kamanda hapo huelewi nini?
 
  • Thanks
Reactions: ---
5C5D452F-503B-4D00-BF9C-3FFBC6C09633.jpeg
 
Muda unayoyoma sasa nijisogeze mtaani hapa naweza otea mshangazi wekeend ikawa bomba
Alafu nikwambie kitu mkuu? Unaweza ukawa katika mazingira rahisi kabisa ya kupata "NGONO" bila usumbufu au bila garama kubwa, ila ukiweza kuyashinda hayo mazingira kwakuamua usitekeleze kile mazingira yanavyokutuma utakuwa umepata FAIDA kubwa mno kiafya, kiakili na hata utimamu wa kimamlaka juu ya mwili wako.
 
Ndio maana nikakuuliza hapo hujaelewa nini? Huyo anataka moto kamanda jiongeze usituangushe
Yaani tumetoka kuongelea habari za vifo, magonjwa na matatizo mengine ya familia yake halafu nimkaze!
 
Back
Top Bottom