ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 18,040
- 42,730
- Thread starter
- #21
Kina nani tena mkuuAngeruka nao.
Kina nani tena mkuuAngeruka nao.
Kiruuuuuuu msalimie ma shirimaaHapa naimezea mate kesho nianze njia ya kwenda kilingeni sio kingine ni Serengeti lite nikishuka tuu 😂
Mbona Gafla 🤣🤣🤣Mimi natajia nikuone siku moja lakini naogopa kama yaliyomtokea huyoo mkaka
Kaka ndege sasa mimi nitajuaje jamani mi nilihadithiwa hivyo tuNgoja nikuulize man. Ulivymwina huyo mshangazi, ulifanyeje?
Je, ulikumbia?
Ulikutana naye na kubadilishana mawazo?
Ulipiga yowe?
Miguu ilikosa nguvu hadi ukuanguka?
Ninaaswali mengi sana bwashee, lakini hebu nijibu kwanza hayo machache.
Yesuuuuuuuu wangu keku jana nilikuwa nayyeeeh etiiiii .....Kiruuuuuuu msalimie ma shirimaa
Hapo sasa sijui ilikuajeHuo mshangizi,
Typo
Kwangu mimi huwezi kujutia for funn😂Mbona Gafla 🤣🤣🤣
Angalia isijekua wewe ndiyo wakuniharibia siku 😆
Miaka flani kipindi kijana niliuziwa mbuzi kwenye gunia.Sema sasa bana🤣
Dah! Kumbe week ndiye uliyefungua Uzi. Mimi nikadhani Uzi ni wa kidume kumbe ni week 🙌Kaka ndege sasa mimi nitajuaje jamani mi nilihadithiwa hivyo tu
Lakini huenda alipiga yoweeeeee
Au sio broKwangu mimi huwezi kujutia for funn😂
Mwaka 2011 hii iliwahi kunitokea 🤣🤣🤣Kuna kaka alinisimulia alikosea no akasikia sauti ya mrembo sauti laini akavutiwa wakaanza mahusiano kwenye simu basi ikafika wakati waonane mwenyewe anasema enzi hizo hakuna smartphone so kulikuwa hakuna access watumiane picha japo nowadays kuna filter ila walau unapata idea
Sasa wakapanga waonane walivyoonana mwenyewe anasema lahaulaaaaaaa 😲
akaona mmama mkubwa kama mwalimu wa secondary wale wanene
Aliishiwa pozi alichoka hoi alipigwabutwa
Akaapa hatarudia
Ila kubeba boxes kwa wenzetu huko utaishije? Kazana na bena sana ili uweke heshima huku kwa wasiostaarabika malawi landMambo yashakuwa mengi mkuu.
Boxes kwenda mbele 😁😁
Hahaha ni jokes mkuu, sasa boxes uta-afford vipi essential needsB
Ila kubeba boxes kwa wenzetu huko utaishije? Kazana na bena sana ili uweke heshima huku kwa wasiostaarabika malawi land
Yoooooo mpe hi mama la mamaYesuuuuuuuu wangu keku jana nilikuwa nayyeeeh etiiiii .....
zimefika dearest sisYoooooo mpe hi mama la mama