Inasikitisha sana
Sana mkuu. 😊
Inasikitisha sana
Ni kweli lakiniYh maana vitu vingn sio vya kusubir
Nipo bro, za huko?Braza upo ? 😅
Nipo hapa , huko ni wapi?Nipo bro, za huko?
Sio lazimaAlafu nikwambie kitu mkuu? Unaweza ukawa katika mazingira rahisi kabisa ya kupata "NGONO" bila usumbufu au bila garama kubwa, ila ukiweza kuyashinda hayo mazingira kwakuamua usitekeleze kile mazingira yanavyokutuma utakuwa umepata FAIDA kubwa mno kiafya, kiakili na hata utimamu wa kimamlaka juu ya mwili wako.
YhNi kweli lakini
Hakuna aliyesema ni lazima mzee baba ndiomana kila mtu ana life style yake ila hatutaacha kushauri kwasababu everything has its own consequences.Sio lazima
Niliwahi kupigiwa simu na mwanamke mmoja kutoka mtandao wa simu, alinikumbusha kurejesha deni ambalo nilikuwa nimesahau kulipa kwa zaidi ya mwaka. Mwanamke alikuwa na sauti amazing!. Tumeshaona mara kadhaa na ni marafiki hadi wa leo.Njoo tu refresh tukisubiri wekeend
Hivi kuna siku uliwahi kuisubiri kwa hamu yaan ukawa na hamuu ya juu sana kupita kawaida?
Umewahi kutokea siku kama hiyo
Vipi siku husika ilivyowadia mambo yalikuaje
Matarajio yako yalikua kweli au ndiyo ulikua disappointed
Kuna kaka alinisimulia alikosea no akasikia sauti ya mrembo sauti laini akavutiwa wakaanza mahusiano kwenye simu basi ikafika wakati waonane mwenyewe anasema enzi hizo hakuna smartphone so kulikuwa hakuna access watumiane picha japo nowadays kuna filter ila walau unapata idea
Sasa wakapanga waonane walivyoonana mwenyewe anasema lahaulaaaaaaa 😲
akaona mmama mkubwa kama mwalimu wa secondary wale wanene
Aliishiwa pozi alichoka hoi alipigwabutwa
Akaapa hatarudia
Basi siku aliyoisubiri kwa hamu na matarajio makubwa ikawa imeharibika hivyo
Vipi wewe imewahi kukuta ?
Ukaishia kujutia muda wako ?
Au ulienda na matarajio ya kawaida tu, kumbe ukakutana na more than you expected ikawa blessing over blessing? 😄❤️
ShesRise_1 🤚
Wow hongera sana 😊Niliwahi kupigiwa simu na mwanamke mmoja kutoka mtandao wa simu, alinikumbusha kurejesha deni ambalo nilikuwa nimesahau kulipa kwa zaidi ya mwaka. Mwanamke alikuwa na sauti amazing!. Tumeshaona mara kadhaa na ni marafiki hadi wa leo.