ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 18,583
- 43,679
- Thread starter
- #61
Kuna sehemu nime chill watu wanashangaa ninavyocheka peke yangu na simu 🤣🤣🤣Ukweli lazima usemwe. Mtu kama Ndalichako bwana!
Ndalichako ndiyo nani huko daslamu 🙌
Kuna sehemu nime chill watu wanashangaa ninavyocheka peke yangu na simu 🤣🤣🤣Ukweli lazima usemwe. Mtu kama Ndalichako bwana!
Muulize Lamomy akuelezee Ndalichako ni nani na yukoje.Kuna sehemu nime chill watu wanashangaa ninavyocheka peke yangu na simu 🤣🤣🤣
Ndalichako ndiyo nani huko daslamu 🙌
Unanitia dhambini ujue we mzee 🤣
Mm hua nasikitika kweli baada ya kusoma mada za watu, sio kwamba naandika ovyo.Hahahahahaaaa hilo neno nalitumiaga kwenye thread ambazo sijazielewa au sina cha kucomment, kama mzee wa masikitiko Mbaga Jr
Mpaka pale mtakapoacha kuandika mada za kusikitisha 😎Mdogo wangu wewe
Utafurahia lini 😁
napitia maoni ya wadauTaratibu nini?
Bado utasikitika sana 😢 🤣Mpaka pale mtakapoacha kuandika mada za kusikitisha 😎
Yeye ni nani?Ngoja nikuitie fake p😅😅
Nazidi kusikitika 😭Bado utasikitika sana 😢 🤣
Ooh vizuri sananapitia maoni ya wadau
Halaaa 👊Nazidi kusikitika 😭
Yaani alikuwa kama muigizaji wa futuhiKwanini sasa lipstick ya kijivu lakini 😢🤣🤣
Jizaziiii nimelia sana 😭😭Yaani alikuwa kama muigizaji wa futuhi
Ni kamanda,Yeye ni nani?
Ukimuita atafanya nini?
Hebu jibu hayo maswali kwa urefu au kwa ufupi
Au sio 🤣🤣Ni kamanda,
Anasema humuwezi kwa lolote😅
Kuna shida mahali mkuuhawatasaria hapo
Tulikaa pale Ubungo Plaza kulikuwa kuna Hotel inakuwa inaitwa Blue Pearl, tukala pizza na tukanywa juice na akailipia ile menu yote.Jizaziiii nimelia sana 😭😭
Baada ya hapo ikawaje sasa ?
Lakini pia umesema alifanana na baba ake copy sio?
Mimi mjumbe tu, mjumbe hauwawi aunt yangu😅😅Au sio 🤣🤣
Wewe unachekesha kama hutokei kwetu
Hivi niliwahi kusema naweza mtu ?
NB : Unavyokuja tu ........ 📌
Karibu mkuu!Kuna shida mahali mkuu