ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 18,583
- 43,679
- Thread starter
- #41
Nimecheka kwa sauti kubwaaa Wallah 🤣🤣🤣 since morning sijacheka hivi dahMiaka flani kipindi kijana niliuziwa mbuzi kwenye gunia.
Kuna dada mmoja aliwahi kusea namba akanitafta, badae tujaendelea mawasiliano.
Alikua na sauti nzuri sana nikaamini na physical view is directly proportion na sauti ake.
Astarghfiralah !! siku nlio muona nliishiwa pawa alikua kama hyo ID picture ya brother secretarybird .
secretarybird huyo mwanamke ni dada ako ?