Njoo tu-chat HAPA...

Njoo tu-chat HAPA...

Sema viswaswadu pm ukiingia tunarusha magauni tu... et tunaandika connecting unasubiri mpaka unakata tamaa
Magauni?? Pm mnaenda kufanya nini, mtatapeliwa mpaka hivyo viswaswadu vyenu! Na mnawezaje? Unajua kutype ilivyo kazi ila nyie mmo tu!
 
Huu uzi maalum kwa ajili ya kuchati na marafiki zako wa humu n.k ndio maana nika amua ku fungua uzi huu binafsi napenda sana ku chat so kama na wewe unapenda ku chat naku karibisha"" hapa uzi huu ni wa muda wote sio mchana wala usiku ni muda wote"kuna muda uko na mawazo au uko poa hapa kwenye uzi huu utachati na marafiki zako n.k
n.k
WOTE:MNAKARIBISHWA
tunachat kwa mada zote au kusalimiana tu?
 
Back
Top Bottom