Kwasasa tunatoa huduma ya kukodisha magari kwa ajili ya harus kusafirisha msiba, wanafunzi wanaokwenda study tour tumewaandalia hostel za kufikia kwa baadhi ya kanda,lakini pia tunatoa huduma ya usafir kwa vikundi vya watu wanaotaka kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine
Kwasasa hatuna huduma ya self drive
Gharama zinategemea na aina ya kazi safari yako hivyo inakuwa ngumu kupanga bei ya pamoja kwasababu kila mmoja ana aina yake ya safari
Tupo Dar es salaam Mwanza Arusha Moshi Dodoma Mbeya
0715-999-661
Twitter @magariyakukodi
Instagram @magariyakukodisha2023
Tiktok @magariyakukodisha
Jahkiss9@gmail.com