kimatire
JF-Expert Member
- Nov 27, 2008
- 371
- 93
Katika mchakato wa bajeti ya ofisi ya Waziri Mkuu hapo jana Mh.Pinda alisema kuna maombi ya kuwepo kwa Mkoa mpya wa Njombe, pamoja na wilaya kadhaa.Swali langu kwa wadau JF,Serikali inasema sasa hivi inakabiliana na swala la Global Fincial Crisis linaloikabili dunia nzima,Hivyo tubane matumizi.Je huku kuongeza Mkoa na Wilaya kadhaa ndiko kubana matumizi au kuongeza matumizi kwa walipa kodi?
Last edited by a moderator: