Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Mimi ni kijana nilianza pombe nikiwa kidato cha nne na nilikuwa nakunywa kawaida tu hata miezi mi nne ilikuwa inapita bila hata kuonja sasa nikaingia chuo na kuanza cheti na kupindi hicho nilikuwa situmii japo nilikuwa naishi na watu wanatumia siku moja rafiki yangu alininunulia, sitasahau na nilikoma kuchanganya bia na konyagi nilizima nilishtuka ni asubuhi.

Nikafanikiwa kuingia diploma hapo sasa nilivyobahatika kupata kazi ya kusimamia pooltable nilianza kunywa hovyo nikishinda kamaritu basi ikatokea nikaanza kupenda pombe haipiti week lazima ninywe mara moja mbili.

(Nafupisha) sasa kwa sasa hivi nimekuwa napenda pombe kiasi kwamba haipiti siku sijatupia kiroba yani saizi bia sipendi napenda viroba tu na pia kila nikijaribu kusema niache nashindwa hata saizi confidence ya kuonge sina hadi nitupia na hata pia kutongoza inakuwa ngumu na pia huwa natetemeka sana kupita kiasi kama nisipo kunywa siku mbili nimejaribu kuacha lakini wapi.

Jamani hakuna anaejua dawa ya hii kitu kweli maana nina malengo mengi sana. nisaidieni ana JF.
Tafuta maziwa ya nguruwe changanya na pombe halafu kunywa. Ukishakunywa ni utatapika hatari hutorudia tena kunywa hata kuongea na mtu aliyetoka kunywa pombe kwako itakuwa ni ndoto. Polee kwa kutawaliwa na pombe
 
DAWA IPI!: NENDA MOMBASA THEN KANYWE BIA MPK ULEWE KABISA THEN KESHO YAKE UTATUPA MREJESHO KUWA JE UMEAMUA KUACHA POMBE AU LA?
 
pole sana jamaa yangu.pombe inatesa sana na mimi ni muhanga,hapa nilipo na comment huku natoa lock na kili baridi.karibu toroka uje kimara hapa tupige mbili tatu huku tukijadiliana namna ya kujinasua.daah pombe jamani
nakuja..
 
Unajitia kwenye risk ya kupata magonjwa hatari sana kama vile Liver cirrhosis hasa hizo pombe zilizotokana na Distillation na hasa hivyo Viroba,

Mkuu kaa chini tafakari,kisha jihurumie and then chukua hatua before it's too late,

Remember, if u can't change urself then nobody can change you!

Good luck


No one live forever mkuu
 
MAMBO VP WANA JF..

MIMI NI KIJANA WA MIAKA 27...NIMEFANIKIWA KUPATA KAZI NZURI TU LAKINI TATIZO LANGU NI ULEVI... NIMEKUWA NIKITUMIA PESA ZANGU VISIVYO... NIMEKUWA MLEVI KUPINDUKIA NIMEJARIBU KUJI CONTROL BIA 3-5 LAKINI NIMESHINDWA... JUZI NIMEKOSWA KOSWA NA AJALI NILIKUA NIKI DRIVE UKU NIMELEWA...

MSAADA JAMANI KAMA KUNA DAWAYOYOTE YA KUACHA KUNYWA POMBE MNISAIDIE IWE MITISHAMBA AU DAWA ZA KAWAIDA... NIOKOENI KIJANA MWENZENU


Uwe unameza flagyl au DISULFIRAM utapunguza tu mwenyewe maumivu utakayoyapata
 
Aisee jamaa yangu hebu nambie kama bado uko hapo nije. Hapa Zebra pub naina friji lao halipoozi vizuri.

Aliyegundua bia Mungu ambariki sana. Inanisaidia sana wakati wa shida na raha...Nashangaa mtu anataka kuiacha eti.

Tunyweni pombe kwa afya zetu za akili na kwa maendeleo ya taifa.
blaza nikachelewa kukujibu...karibu karibu sanaa miti mitatu hapa
 
Mimi ni kijana nilianza pombe nikiwa kidato cha nne na nilikuwa nakunywa kawaida tu hata miezi mi nne ilikuwa inapita bila hata kuonja sasa nikaingia chuo na kuanza cheti na kupindi hicho nilikuwa situmii japo nilikuwa naishi na watu wanatumia siku moja rafiki yangu alininunulia, sitasahau na nilikoma kuchanganya bia na konyagi nilizima nilishtuka ni asubuhi.

Nikafanikiwa kuingia diploma hapo sasa nilivyobahatika kupata kazi ya kusimamia pooltable nilianza kunywa hovyo nikishinda kamaritu basi ikatokea nikaanza kupenda pombe haipiti week lazima ninywe mara moja mbili.

(Nafupisha) sasa kwa sasa hivi nimekuwa napenda pombe kiasi kwamba haipiti siku sijatupia kiroba yani saizi bia sipendi napenda viroba tu na pia kila nikijaribu kusema niache nashindwa hata saizi confidence ya kuonge sina hadi nitupia na hata pia kutongoza inakuwa ngumu na pia huwa natetemeka sana kupita kiasi kama nisipo kunywa siku mbili nimejaribu kuacha lakini wapi.

Jamani hakuna anaejua dawa ya hii kitu kweli maana nina malengo mengi sana. nisaidieni ana JF.
Pombe inahitaji displin. Kama umefikia kwenye viroba hali ni mbaya.

Ondoka kwenye makundi ya walevi angalau baki na wanywaji, wenye displin ya unywaji.
 
Aisee jamaa yangu hebu nambie kama bado uko hapo nije. Hapa Zebra pub naina friji lao halipoozi vizuri.

Aliyegundua bia Mungu ambariki sana. Inanisaidia sana wakati wa shida na raha...Nashangaa mtu anataka kuiacha eti.

Tunyweni pombe kwa afya zetu za akili na kwa maendeleo ya taifa.
Hivi kwa nini bia za Fair way na facebook pub tamu sana?!
 
Dawa ni kumrudia mungu kwa moyo wa dhati nakumbuka nilikua mlevi sana na navuta sana fegi ila toka tar 17/4/2015 mpka Leo sitaman nakushauri dawa ni kurudi kweny nyumba za ibada na kutubu ili use na hofu yamungu
 
Mi nina best yangu tulimwokota mtaroni asubuhi kabaki na chupi tu! Mpaka leo kaacha kabisa....Sijui kilimtokea nn? Na wewe huyo ndugu yako ni swala la muda tu....
 
Back
Top Bottom