Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 57,677
- 96,971
Number 1.vya malawi vikoje maana mimi ni jogoo konyagi niliacha kwa ajili ya harufu kali.
Number 1.vya malawi vikoje maana mimi ni jogoo konyagi niliacha kwa ajili ya harufu kali.
Tafuta maziwa ya nguruwe changanya na pombe halafu kunywa. Ukishakunywa ni utatapika hatari hutorudia tena kunywa hata kuongea na mtu aliyetoka kunywa pombe kwako itakuwa ni ndoto. Polee kwa kutawaliwa na pombeMimi ni kijana nilianza pombe nikiwa kidato cha nne na nilikuwa nakunywa kawaida tu hata miezi mi nne ilikuwa inapita bila hata kuonja sasa nikaingia chuo na kuanza cheti na kupindi hicho nilikuwa situmii japo nilikuwa naishi na watu wanatumia siku moja rafiki yangu alininunulia, sitasahau na nilikoma kuchanganya bia na konyagi nilizima nilishtuka ni asubuhi.
Nikafanikiwa kuingia diploma hapo sasa nilivyobahatika kupata kazi ya kusimamia pooltable nilianza kunywa hovyo nikishinda kamaritu basi ikatokea nikaanza kupenda pombe haipiti week lazima ninywe mara moja mbili.
(Nafupisha) sasa kwa sasa hivi nimekuwa napenda pombe kiasi kwamba haipiti siku sijatupia kiroba yani saizi bia sipendi napenda viroba tu na pia kila nikijaribu kusema niache nashindwa hata saizi confidence ya kuonge sina hadi nitupia na hata pia kutongoza inakuwa ngumu na pia huwa natetemeka sana kupita kiasi kama nisipo kunywa siku mbili nimejaribu kuacha lakini wapi.
Jamani hakuna anaejua dawa ya hii kitu kweli maana nina malengo mengi sana. nisaidieni ana JF.
nakuja..pole sana jamaa yangu.pombe inatesa sana na mimi ni muhanga,hapa nilipo na comment huku natoa lock na kili baridi.karibu toroka uje kimara hapa tupige mbili tatu huku tukijadiliana namna ya kujinasua.daah pombe jamani
Win,master, bossmkuu
viroba gani vya malawi Vinachubua koo.?
Kwenye chama kina lipumba huwa hawakosekani, ukiona mtu anapenda pombe za ofa ujue huyo ni kama lipumbachama cha wanywa pombe ni zaidi ya saccos...
wanapeana sana offer
Unajitia kwenye risk ya kupata magonjwa hatari sana kama vile Liver cirrhosis hasa hizo pombe zilizotokana na Distillation na hasa hivyo Viroba,
Mkuu kaa chini tafakari,kisha jihurumie and then chukua hatua before it's too late,
Remember, if u can't change urself then nobody can change you!
Good luck
MAMBO VP WANA JF..
MIMI NI KIJANA WA MIAKA 27...NIMEFANIKIWA KUPATA KAZI NZURI TU LAKINI TATIZO LANGU NI ULEVI... NIMEKUWA NIKITUMIA PESA ZANGU VISIVYO... NIMEKUWA MLEVI KUPINDUKIA NIMEJARIBU KUJI CONTROL BIA 3-5 LAKINI NIMESHINDWA... JUZI NIMEKOSWA KOSWA NA AJALI NILIKUA NIKI DRIVE UKU NIMELEWA...
MSAADA JAMANI KAMA KUNA DAWAYOYOTE YA KUACHA KUNYWA POMBE MNISAIDIE IWE MITISHAMBA AU DAWA ZA KAWAIDA... NIOKOENI KIJANA MWENZENU
blaza nikachelewa kukujibu...karibu karibu sanaa miti mitatu hapaAisee jamaa yangu hebu nambie kama bado uko hapo nije. Hapa Zebra pub naina friji lao halipoozi vizuri.
Aliyegundua bia Mungu ambariki sana. Inanisaidia sana wakati wa shida na raha...Nashangaa mtu anataka kuiacha eti.
Tunyweni pombe kwa afya zetu za akili na kwa maendeleo ya taifa.
Ah wewe bhana...blaza nikachelewa kukujibu...karibu karibu sanaa miti mitatu hapa
Pombe inahitaji displin. Kama umefikia kwenye viroba hali ni mbaya.Mimi ni kijana nilianza pombe nikiwa kidato cha nne na nilikuwa nakunywa kawaida tu hata miezi mi nne ilikuwa inapita bila hata kuonja sasa nikaingia chuo na kuanza cheti na kupindi hicho nilikuwa situmii japo nilikuwa naishi na watu wanatumia siku moja rafiki yangu alininunulia, sitasahau na nilikoma kuchanganya bia na konyagi nilizima nilishtuka ni asubuhi.
Nikafanikiwa kuingia diploma hapo sasa nilivyobahatika kupata kazi ya kusimamia pooltable nilianza kunywa hovyo nikishinda kamaritu basi ikatokea nikaanza kupenda pombe haipiti week lazima ninywe mara moja mbili.
(Nafupisha) sasa kwa sasa hivi nimekuwa napenda pombe kiasi kwamba haipiti siku sijatupia kiroba yani saizi bia sipendi napenda viroba tu na pia kila nikijaribu kusema niache nashindwa hata saizi confidence ya kuonge sina hadi nitupia na hata pia kutongoza inakuwa ngumu na pia huwa natetemeka sana kupita kiasi kama nisipo kunywa siku mbili nimejaribu kuacha lakini wapi.
Jamani hakuna anaejua dawa ya hii kitu kweli maana nina malengo mengi sana. nisaidieni ana JF.
Hivi kwa nini bia za Fair way na facebook pub tamu sana?!Aisee jamaa yangu hebu nambie kama bado uko hapo nije. Hapa Zebra pub naina friji lao halipoozi vizuri.
Aliyegundua bia Mungu ambariki sana. Inanisaidia sana wakati wa shida na raha...Nashangaa mtu anataka kuiacha eti.
Tunyweni pombe kwa afya zetu za akili na kwa maendeleo ya taifa.
Aisee we jamaa. Utanifanya niahirishe safari ya kuzima mwenge.Hivi kwa nini bia za Fair way na facebook pub tamu sana?!
Hahahahaa....unamuwahi Amina au Mage....Aisee we jamaa. Utanifanya niahirishe safari ya kuzima mwenge.
Leo atakuwepo MauaHahahahaa....unamuwahi Amina au Mage....