Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

mimi ni kijana nilianza pombe nikiwa kidato cha nne na nilikuwa nakunywa kawaida tu hata mwiezi mi nne ilikuwa inapita bila hata kuonja sasa nikaingi chuo na kuanza cheti na kupindi hicho nilikuwa situmi japo nilikuwa naishi na watu wanatumia siku moja rafiki yangu alininunulia sita sahau na nilikoma kuchanganya bia na konyagi nilizima nilishtuka ni asubuhi.
nikafanikiwa kuingia diploma hapo sasa nilivyo bahatika kupata kazi ya kusimamia pooltable nilianza kunywa ovyo nikishinda kamaritu basi ikatokea nikaanza kupenda pombe haipiti week lazima ninywe mara moja mbili.
(nafupisha)
sasa kwa sasa hivi nimekuwa napenda pombe kiasi kwamba haipiti siku sijatupia kiroba yani saizi bia sipendi napenda viroba tu na pia kila nikijaribu kusema niache nashindwa hata saizi confidence ya kuonge sina hadi nitupia na hata pia kutongoza inakuwa ngumu. na pia huwa natetemeka sana kupita kiasi kama nisipo kunywa siku mbili. nimejaribu kuacha lakini wapi.

jamani hakuna anaejua dawa ya hii kitu kweli maana nina malengo mengi sana. nisaidieni ana jf
pole sana jamaa yangu.pombe inatesa sana na mimi ni muhanga,hapa nilipo na comment huku natoa lock na kili baridi.karibu toroka uje kimara hapa tupige mbili tatu huku tukijadiliana namna ya kujinasua.daah pombe jamani
 
mimi ni kijana nilianza pombe nikiwa kidato cha nne na nilikuwa nakunywa kawaida tu hata mwiezi mi nne ilikuwa inapita bila hata kuonja sasa nikaingi chuo na kuanza cheti na kupindi hicho nilikuwa situmi japo nilikuwa naishi na watu wanatumia siku moja rafiki yangu alininunulia sita sahau na nilikoma kuchanganya bia na konyagi nilizima nilishtuka ni asubuhi.
nikafanikiwa kuingia diploma hapo sasa nilivyo bahatika kupata kazi ya kusimamia pooltable nilianza kunywa ovyo nikishinda kamaritu basi ikatokea nikaanza kupenda pombe haipiti week lazima ninywe mara moja mbili.
(nafupisha)
sasa kwa sasa hivi nimekuwa napenda pombe kiasi kwamba haipiti siku sijatupia kiroba yani saizi bia sipendi napenda viroba tu na pia kila nikijaribu kusema niache nashindwa hata saizi confidence ya kuonge sina hadi nitupia na hata pia kutongoza inakuwa ngumu. na pia huwa natetemeka sana kupita kiasi kama nisipo kunywa siku mbili. nimejaribu kuacha lakini wapi.

jamani hakuna anaejua dawa ya hii kitu kweli maana nina malengo mengi sana. nisaidieni ana jf

Pole sana mkuu.
Kunywa pombe kwa kiasi na kwa uhitaji ni muhimu sana, sio lazima unywe kila siku hata kama huna hamu ya kunywa.
Ki ukweli kuacha pombe ni kazi sana hasa unapokuwa umefika level uliyopo wewe. Mimi naushauri yafuatayo:-

1. Kwanza kabisa, Mrudie Mungu kwa kufanya ibada na kushiriki mambo ya kiimani hasa muda unaokuwa free.

2. Washirikishe watu wako wa karibu juu ya nia yako ya kuacha kunywa pombe, watu hao ni kama Mama, mke, rafiki wa karibu n.k ili wakusaidia kwa namna moja au nyingine.

3. Muone dactari wa mambo ya saikolojia akusaidie jinsi ya kujinasua na kama ataona kuna umuhimu utapelekwa sehemu maalumu kwa uangalizi wa karibu.

Kumbuka: Madhara uliyoyataja ni yale tu ambayo umeyagundua wewe na sio dactari hivyo kuna uwezekano ukawa umeathirika zaidi ya ulivyo eleza.
 
mimi ni kijana nilianza pombe nikiwa kidato cha nne na nilikuwa nakunywa kawaida tu hata mwiezi mi nne ilikuwa inapita bila hata kuonja sasa nikaingi chuo na kuanza cheti na kupindi hicho nilikuwa situmi japo nilikuwa naishi na watu wanatumia siku moja rafiki yangu alininunulia sita sahau na nilikoma kuchanganya bia na konyagi nilizima nilishtuka ni asubuhi.
nikafanikiwa kuingia diploma hapo sasa nilivyo bahatika kupata kazi ya kusimamia pooltable nilianza kunywa ovyo nikishinda kamaritu basi ikatokea nikaanza kupenda pombe haipiti week lazima ninywe mara moja mbili.
(nafupisha)
sasa kwa sasa hivi nimekuwa napenda pombe kiasi kwamba haipiti siku sijatupia kiroba yani saizi bia sipendi napenda viroba tu na pia kila nikijaribu kusema niache nashindwa hata saizi confidence ya kuonge sina hadi nitupia na hata pia kutongoza inakuwa ngumu. na pia huwa natetemeka sana kupita kiasi kama nisipo kunywa siku mbili. nimejaribu kuacha lakini wapi.

jamani hakuna anaejua dawa ya hii kitu kweli maana nina malengo mengi sana. nisaidieni ana jf
Ukitaka kuacha bia / viroba - anza kwa kutumia wine ya Rosele, inaondoa kabisa hamu ya pombe.
 
Mimi ni kijana nilianza pombe nikiwa kidato cha nne na nilikuwa nakunywa kawaida tu hata miezi mi nne ilikuwa inapita bila hata kuonja sasa nikaingia chuo na kuanza cheti na kupindi hicho nilikuwa situmii japo nilikuwa naishi na watu wanatumia siku moja rafiki yangu alininunulia, sitasahau na nilikoma kuchanganya bia na konyagi nilizima nilishtuka ni asubuhi.

Nikafanikiwa kuingia diploma hapo sasa nilivyobahatika kupata kazi ya kusimamia pooltable nilianza kunywa hovyo nikishinda kamaritu basi ikatokea nikaanza kupenda pombe haipiti week lazima ninywe mara moja mbili.

(Nafupisha) sasa kwa sasa hivi nimekuwa napenda pombe kiasi kwamba haipiti siku sijatupia kiroba yani saizi bia sipendi napenda viroba tu na pia kila nikijaribu kusema niache nashindwa hata saizi confidence ya kuonge sina hadi nitupia na hata pia kutongoza inakuwa ngumu na pia huwa natetemeka sana kupita kiasi kama nisipo kunywa siku mbili nimejaribu kuacha lakini wapi.

Jamani hakuna anaejua dawa ya hii kitu kweli maana nina malengo mengi sana. nisaidieni ana JF.

linko tuko wengi me siwezi lala mpaka nilewe kaka nimeshindwa acha iyo kitu
 
Mimi ni kijana nilianza pombe nikiwa kidato cha nne na nilikuwa nakunywa kawaida tu hata miezi mi nne ilikuwa inapita bila hata kuonja sasa nikaingia chuo na kuanza cheti na kupindi hicho nilikuwa situmii japo nilikuwa naishi na watu wanatumia siku moja rafiki yangu alininunulia, sitasahau na nilikoma kuchanganya bia na konyagi nilizima nilishtuka ni asubuhi.

Nikafanikiwa kuingia diploma hapo sasa nilivyobahatika kupata kazi ya kusimamia pooltable nilianza kunywa hovyo nikishinda kamaritu basi ikatokea nikaanza kupenda pombe haipiti week lazima ninywe mara moja mbili.

(Nafupisha) sasa kwa sasa hivi nimekuwa napenda pombe kiasi kwamba haipiti siku sijatupia kiroba yani saizi bia sipendi napenda viroba tu na pia kila nikijaribu kusema niache nashindwa hata saizi confidence ya kuonge sina hadi nitupia na hata pia kutongoza inakuwa ngumu na pia huwa natetemeka sana kupita kiasi kama nisipo kunywa siku mbili nimejaribu kuacha lakini wapi.

Jamani hakuna anaejua dawa ya hii kitu kweli maana nina malengo mengi sana. nisaidieni ana JF.
Unajitia kwenye risk ya kupata magonjwa hatari sana kama vile Liver cirrhosis hasa hizo pombe zilizotokana na Distillation na hasa hivyo Viroba,

Mkuu kaa chini tafakari,kisha jihurumie and then chukua hatua before it's too late,

Remember, if u can't change urself then nobody can change you!

Good luck
 
Mimi ni kijana nilianza pombe nikiwa kidato cha nne na nilikuwa nakunywa kawaida tu hata miezi mi nne ilikuwa inapita bila hata kuonja sasa nikaingia chuo na kuanza cheti na kupindi hicho nilikuwa situmii japo nilikuwa naishi na watu wanatumia siku moja rafiki yangu alininunulia, sitasahau na nilikoma kuchanganya bia na konyagi nilizima nilishtuka ni asubuhi.

Nikafanikiwa kuingia diploma hapo sasa nilivyobahatika kupata kazi ya kusimamia pooltable nilianza kunywa hovyo nikishinda kamaritu basi ikatokea nikaanza kupenda pombe haipiti week lazima ninywe mara moja mbili.

(Nafupisha) sasa kwa sasa hivi nimekuwa napenda pombe kiasi kwamba haipiti siku sijatupia kiroba yani saizi bia sipendi napenda viroba tu na pia kila nikijaribu kusema niache nashindwa hata saizi confidence ya kuonge sina hadi nitupia na hata pia kutongoza inakuwa ngumu na pia huwa natetemeka sana kupita kiasi kama nisipo kunywa siku mbili nimejaribu kuacha lakini wapi.

Jamani hakuna anaejua dawa ya hii kitu kweli maana nina malengo mengi sana. nisaidieni ana JF.


Vuta Sigara!
 
pole sana jamaa yangu.pombe inatesa sana na mimi ni muhanga,hapa nilipo na comment huku natoa lock na kili baridi.karibu toroka uje kimara hapa tupige mbili tatu huku tukijadiliana namna ya kujinasua.daah pombe jamani
hahahahahahahahaa hatari yani mi nikiwa peke yangu tu nawaza pombe na viroba ndo napenda sana yani nimejaribu kukaa hata siku 3 bila kuonja nashindwa
 
Back
Top Bottom