zinginary
JF-Expert Member
- Dec 18, 2015
- 2,467
- 1,687
Mambo ya kunywa huku una stress za kuacha n msalaa...pombe itazid kusulubu we kunywa kadri uwezavyo itakuzuoea tuu..na utajikuta unanyooka fresh usipende kuangalia wanao kubeza we yatwangeWakuu naomba ku share na nyinyi hii tabia nahitaji msaada for real.
Mimi ni kijana wa miaka 27, na tabia hii ambayo sio ya kuiificha. Weekend hii nilikuwa naona mnamsema Kitwanga lakini Kuna vitwanga wengi JF na mitaani. Kilevi/beer natumia kupita maelezo. Maisha yangu yamekuwa ya kula bata viunga vya jiji la marahaba. salary yote inaishia kwenye vyupa.
Nashindwa kuelewa tatizo ni nini, najaribu kuacha nashindwa. Nisipokunywa nakuwa very decent & smart young man. Lakin nikinywa tu nakuwa chakaramu.Mbaya zaidi imenifanya nisiwe serious kabisa hata kwenye issues ambazo ni very critical. Na offisini nimeanza ku underperform.
Nimekuwa mtu wa mawazo sana nisipokunywa. Kinachonishangaza ni kwamba mchana siwezi kugusa beer. Lakini ikifika saa tatu usiku shetani ananishawishi naondoka kwangu kuelekea viwanja vya mbali. Huko nitapiga kamnyeso mpaka kumi za usiku nikirudi hoi. Pombe ni source of all evils trust me people.Na mbaya zaidi inazeesha sana.
I wish to change, i wash to focus on life. I wish to have a beautiful family Lakin sijui nachomoka vipi. Naweza jizuia wiki Mbili lakini nikizipatia nafidia siku zote ambazo sijapata. This is not normal.
Maji haya ya Mzungu yamenikamata akili mpaka naona soon nitatumbuliwa jipu.I was handsome mpaka namaliza chuo. Nilikuwa nikitembea wasupaaaa (babies) wanani admire. But currently nipo very rough hata kesho sijui nitavaa nini kwenda officin.Sina savings, sina kiwanja, sina mchumba
Jina kubwa maendeleo zero.Nilikuwa na aminika Lakin sasa hivi hakuna anae ni trust including my family members.Nataka toroka kwenye hili pepo chafu. Kama Kuna sehemu ya maombi/tiba ya ki science ya uhakika please naombeni msaada. Na kama mpo young men wa type hii badilikeni kimea sio kitu kizuri.
Note. Hii excuse ya ku control it's not real. Pombe huwezi control, overtime itakuzidia tu.
Pombe n tamu jamaniii