Njia ya kuondoa majitaka kwa njia mbadala

Njia ya kuondoa majitaka kwa njia mbadala

radicals

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2016
Posts
4,411
Reaction score
6,496
Habari wanajamvi, eti kuna njia ya kupunguza mzigo wa majitaka kwa njia mbadala.

Kuna mtu kanishauri ninunue chumvi kg 5 , chlorine lita 1 na chokaa kg 5 nichanganye pamoja halafu nimwage ndani ya shimo?

Je ni kweli? Nahofia nisije nikatengeneza bomu mambo yakaharibika zaidi
 
chokaa na chumvi .Hii tunawekaga chini kabla hata hujaanza kutumia choo.
Inasaidia kuyeyusha uchafu mgumu na kufanya uwe maji ili kuweka kupotelea chini.

Hebu jaribu. Inaweza fanya kazi.

Shimo la wastan likijaa haraka jua pia water level ya eneo husika iko juu hivyo maji hayapotei kwa haraka.
 
Wamekudanganya, leta gari la taka linyonye mzigo ukamwage shambani.

Hizo kilo 5 angesema kwa shimo la ujazo Gani,

Wabongo usiwasikilize sana kwenye ushauri wakati unataka kujenga, kuoa au kununua gari.
 
Habari wanajamvi, eti kuna njia ya kupunguza mzigo wa majitaka kwa njia mbadala.

Kuna mtu kanishauri ninunue chumvi kg 5 , chlorine lita 1 na chokaa kg 5 nichanganye pamoja halafu nimwage ndani ya shimo?

Je ni kweli? Nahofia nisije nikatengeneza bomu mambo yakaharibika zaidi
Ndio ni kweli ila nì kwa muda tu.
 
Back
Top Bottom