Njia watumiazo wadada kuwataka wakaka

kwasababu gani huwa inakuwa hivi kwa wadada?
je, ni kwasababu mwanaume ataona mwanamke anajirahisisha?
For me naona kama ni kujitongozesha wakati tumezoea wakaka ndiyo wanaotongoza, afu pia would i be comfortable kuwaambia hata watoto wangu kwamba baba yenu nilimfata nikamwambia nampenda? Mmh kidogo haijakaa sawa, raha ya babe akufate akutongoze umhoji hoji viswali then umkumbalie aisee hata yeye atajiskia vizuri bana, good morning mkuu
 
For me naona kama ni kujitongozesha wakati tumezoea wakaka ndiyo wanaotongoza, afu pia would i be comfortable kuwaambia hata watoto wangu kwamba baba yenu nilimfata nikamwambia nampenda? Mmh kidogo haijakaa sawa, raha ya babe akufate akutongoze umhoji hoji viswali then umkumbalie aisee hata yeye atajiskia vizuri bana, good morning mkuu
Kinachokusumbua wewe na wanawake wenzio, sio udomo zege wala uoga, bali ni kiburi (pride/ego) unahisi ukimtongoza mwanaume umejishusha na kujidhalilisha, pia mnaogopa kukataliwa financial services
 
Baadhi ya Dalili za kwamba mdada anakutaka kimapenzi (According to me)

1) ukichukua namba yake, siku ingine yeye anakuwa wa kwanza kukutext na kukupigia..sms zake zitakua refu..
2) Anapenda kukugusa Kidoogo na ku-spend muda mwingi akiwa karibu wewe
3) Baadhi ya Rafiki zako wa kike na wa kiume wanakwambia fulani anakupenda
4)Karibia kila umwambiacho kwake yeye ni sawa, anakukubalia
5)Ukimwambia aje ghetto,au mkutane sehem fulani atakuja, mwanamke anaekupenda, hawezi toa visingizio kuwa yuko busy, hana muda, au ahairishe miadi..yani mwanamke anaekupenda haswa, hawezi play hard to get kwako..
6) Kukuvalia mavazi ya mitego na kukupa vijizawadi, inategemea na mazingira mliopo
7) Saa ingine ukiongea naye anahema whuuuuuu, kama vile alikuwa anakimbia kumbe anatembea, kwasababu anakuona you are the sexiest man alive


Pamoja na kufahamu hizi dalili, lakini saa nyingine ili kuonyesha umangula wangu, mdada mbovu mbovu akinionesha hizi dalili huwa najifanya sielewi mdada anachomaanisha, bhas naishia kuchukiwa kisiri siri
 
Afu ukimpenda mwanaume kiukweli kweli,yaan ile kumwona tu hata kwa mbali joto la mwili hupanda,mapigo ya moyo less.
upendo una nguvu sana
Ngoja nijaribu nije nijipitishe nione reaction yako itakuwaje! Huenda mambo yakawa mambo
 
Baadhi ya Dalili za kwamba mdada anakutaka kimapenzi (According to me)

1) ukichukua namba yake, siku ingine yeye anakuwa wa kwanza kukutext na kukupigia..sms zake zitakua refu..
2) Anapenda kukugusa Kidoogo na ku-spend muda mwingi akiwa karibu wewe
3) Baadhi ya Rafiki zako wa kike na wa kiume wanakwambia fulani anakupenda
4)Karibia kila umwambiacho kwake yeye ni sawa, anakukubalia
5)Ukimwambia aje ghetto,au mkutane sehem fulani atakuja, mwanamke anaekupenda, hawezi toa visingizio kuwa yuko busy, hana muda, au ahairishe miadi..yani mwanamke anaekupenda haswa, hawezi play hard to get kwako..
6) Kukuvalia mavazi ya mitego na kukupa vijizawadi, inategemea na mazingira mliopo
7) Saa ingine ukiongea naye anahema whuuuuuu, kama vile alikuwa anakimbia kumbe anatembea, kwasababu anakuona you are the sexiest man alive


Pamoja na kufahamu hizi dalili, lakini saa nyingine ili kuonyesha umangula wangu, mdada mbovu mbovu akinionesha hizi dalili huwa najifanya sielewi mdada anachomaanisha, bhas naishia kuchukiwa kisiri siri
Hahahahaha we jamaa wewe, eti kama sijamuelewa najifanya sijui anachomaanisha kwa hiyo ukijifanya mgumu anakuchukia kisiri siri??
 
Back
Top Bottom