Copolla
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 232
- 574
😅😅😅Kumbe hizi swagger za zamani bado ziko on flick💥💥💥Namwambia kila nikimuona mapigo ya moyo yanatetemeka mbaya zaidi nikinywa maji namuona kwenye glass
😅😅😅Kumbe hizi swagger za zamani bado ziko on flick💥💥💥Namwambia kila nikimuona mapigo ya moyo yanatetemeka mbaya zaidi nikinywa maji namuona kwenye glass
"Usiache mbachao kwa msala upitao"Yes ni Malaya
So?
Mm akinisalimia kama hataki namjibuNishafanya utafiti wangu kwa vitendo, unaweza kuwa group kwa ofisi ama sehemu yeyote afu akatokea binti akasalimia wengine wote fresh afu wewe akakusalimia kwa tofauti hivi kama hataki mimi kwangu huwa ni ishara ya green light nikirusha ndoano samaki ananasa.
Aisee najishangaa sana kwann sijawahi penda msichana yeyote😅😅😅,sijui kuna tatizo gani aisee😞Mwanaume unapopata ujasiri unatamkia wangapi?
Wee nenda tu ila roho yangu nyeupe imetua mzigo.
AiseeAnakupanulia mapaja uone ulaini wa mapaja yake na chupi yake nyeupe
Mwanaume unapopata ujasiri unatamkia wangapi?
Wee nenda tu ila roho yangu nyeupe imetua mzigo.
Ebu acha mambo yako na dudu lako hilo😂 ndiyo mimi ni police 🤓Umuhoji umekuwa police wewe 👮👮😂😂😂😂
Anakupanulia mapaja uone ulaini wa mapaja yake na chupi yake nyeupe
Raha ya sungura ufanye mawindo.....Sio sungura kujikamatisha.....Mwanaume unapopata ujasiri unatamkia wangapi?
Wee nenda tu ila roho yangu nyeupe imetua mzigo.
Kheee unataka kulihoji dudu tena?Ebu acha mambo yako na dudu lako hilo😂 ndiyo mimi ni police 🤓
preachRaha ya sungura ufanye mawindo.....Sio sungura kujikamatisha.....
Wanaume wengi hatupendi wanawake easy coming......
Mm Huwa nawa avoid wote walio wai kunitongoza..
Mm mpk marafiki zangu waliwai kunishangaa....una mwachaje mrembo kama yule....
Mm ni mtu wa principal....
Tabia za wanaume fisi ukijilengesha atakukula..... Atakusepa
Nduki
Wewe tena... Missed you badlyKwa nini kuzunguka mbuyu
Honestly nikiona mkaka nikamuelewa namwambia bila hofu
umenikimbiaWewe tena... Missed you badly
umepotea sanaWewe tena... Missed you badly
AhahahaaaaNiambie basi mimi, tufanye umenielewa (kwa sauti ya jiwe akiwa anasisitiza jambo)
Joto la mwili tu??.Si na mashine inatepeta kabisa inalainika kabisa au?!!.Afu ukimpenda mwanaume kiukweli kweli,yaan ile kumwona tu hata kwa mbali joto la mwili hupanda,mapigo ya moyo less.
upendo una nguvu sana
Sipo nchini my dear, namaliza mambo yangu huku December. Tutaonana tu by God's graceumenikimbia
umepotea sana
Sipo nchini my dear, namaliza mambo yangu huku December. Tutaonana tu by God's grace