Kutongoza kipaji. Kama wababa huwa tunatetema je nyie?.Kwa nini kuzunguka mbuyu
Honestly nikiona mkaka nikamuelewa namwambia bila hofu
HallelujahKwa nini kuzunguka mbuyu
Honestly nikiona mkaka nikamuelewa namwambia bila hofu
Niambie basi mimi, tufanye umenielewa (kwa sauti ya jiwe akiwa anasisitiza jambo)Kwa nini kuzunguka mbuyu
Honestly nikiona mkaka nikamuelewa namwambia bila hofu
Hii ya kukukodolea mimacho vipi
Hii ni ya less 18Hii ya kukukodolea mimacho vipi
aiseeNamwambia kila nikimuona moyo wangu mapigo ya moyo yanatetemeka mbaya zaidi nikinywa maji namuona kwenye glass