Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,786
- 96,939
HahahaMwambie jamaa alete mahali maswala ya kutiririka haujawa maji wewe!.. hili swala nalifikisha kwa wazee sister kila siku mnakonyezana tu kuja kushangaa mimba hiyo..š¤£
HahahaMwambie jamaa alete mahali maswala ya kutiririka haujawa maji wewe!.. hili swala nalifikisha kwa wazee sister kila siku mnakonyezana tu kuja kushangaa mimba hiyo..š¤£
Dah baasi nipe moyo kipenzi hats km kibendi hkn pakupitaBrother hicho kibendi kitapitia wapi?
Wacha niseme Hallelujah Kuwatia watu moyoš¤£
Brother umeishia wapi na beki tatu?
Haya nakupa moyo kipenziDah baasi nipe moyo kipenzi hats km kibendi hkn pakupita
Lete ushuhuda!Kwa nini kuzunguka mbuyu
Honestly nikiona mkaka nikamuelewa namwambia bila hofu
unajua wanawake wanasema wanaime wanapenda kila mwanamke lakini hakuna ambalo mwanaume ana-enjoy kama kumpata mwanamke ambaye naye ana-mfeel. raha sana.Afu ukimpenda mwanaume kiukweli kweli,yaan ile kumwona tu hata kwa mbali joto la mwili hupanda,mapigo ya moyo less.
upendo una nguvu sana
š š šRefer picha ya beberu na hangaya, ndio dalili zenyewe
Lete ushuhuda!
HahahahaHaya nakupa moyo kipenzi
Hata mimi nimeanza kuwa wasiwasi piaNimesubiria nione sifa ya kutoomba hela lakin haisemwiii humuuu mpo serious kweliii nyie
Dah ni huzuni kwa kweliNasubiri watu watirirke kuna siku jamaa walikuja niambia ex wako anakutaj sana naona anakupenda sana
Nikamtext nikatukanwa