Njia wanazotumia wanawake kuondoa ashki

Njia wanazotumia wanawake kuondoa ashki

jjs2017

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2019
Posts
2,027
Reaction score
4,316
katika kuhangaika hangaika na wanawake , hatimae hawa wanawake wamenichana ukweli.

Ipo hivi katika harakati zangu za kutafuta mke wa kuoa nimejitahidi sana kuzoea wanawake / wasichana wengi sana kupita kiasi ili kuweza kuchambua chambua mwanamwali wa kuweka ndani..

Nimekua ni kiuliza uliza maswali ya hapa na pale na wengine hadi maswali ya ndani kabisa kwa lengo la kuwapima kisawasawa ni yupi atanifaa ila kuna hawa wanawake watano (5) mpaka sasa wameniweka wazi mbinu wanazotumia kuondoa nyege/ hamu ya kufanya mapenzi kwa sababu wao wanadai wanaweza kuishi muda mrefu na hawana haja na mwanaume/ kuolewa..

Njia zenyewe wanazo tumia ni hizi mbili nyingine nitaendelea kujua tuu

1: Wanatumia sabuni

Yani nilipotaka kujua zaidi wanaitumiaje sabuni ni hivi Wanakata kakipisi kidogo cha sabuni na kukalowesha kwenye maji mpaka kalainike alafu wanaingiza ukeni iyeyukie humo na hii wanafanya siku nzima alafu wananawa kesho yake

2: Wanatumia maji ya chumvi

Wameniambia asilimia kubwa hii njia hawaijui ila kwa waliosoma bording au vyuoni wanaijua sana na wale wanaojichanganya sana na wenzao..

Wanachukua maji wanachanganya na chumvi alafu wanakaa mkao ambao utawawezesha kuyamiminia ukeni na wanabaki nayo bila kujiosha.

Nb..wanaume wenzangu haya ndio wanayo yafanya gizani dada zetu , kwa kweli inasikitisha sana
 
katika kuhangaika hangaika na wanawake , hatimae hawa wanawake wamenichana ukweli.

Ipo hivi katika harakati zangu za kutafuta mke wa kuoa nimejitahidi sana kuzoea wanawake / wasichana wengi sana kupita kiasi ili kuweza kuchambua chambua mwanamwali wa kuweka ndani..


Nimekua ni kiuliza uliza maswali ya hapa na pale na wengine hadi maswali ya ndani kabisa kwa lengo la kuwapima kisawasawa ni yupi atanifaa ila kuna hawa wanawake watano (5) mpaka sasa wameniweka wazi mbinu wanazotumia kuondoa nyege/ hamu ya kufanya mapenzi kwa sababu wao wanadai wanaweza kuishi muda mrefu na hawana haja na mwanaume/ kuolewa..

Njia zenyewe wanazo tumia ni hizi mbili nyingine nitaendelea kujua tuu

1: wanatumia sabuni

Yani nilipotaka kujua zaidi wanaitumiaje sabuni ni hivi
Wanakata kakipisi kidogo cha sabuni na kukalowesha kwenye maji mpaka kalainike alafu wanaingiza ukeni iyeyukie humo na hii wanafanya siku nzima alafu wananawa kesho yake

2: wanatumia maji ya chumvi

Wameniambia asilimia kubwa hii njia hawaijui ila kwa waliosoma bording au vyuoni wanaijua sana na wale wanaojichanganya sana na wenzao..

Wanachukua maji wanachanganya na chumvi alafu wanakaa mkao ambao utawawezesha kuyamiminia ukeni na wanabaki nayo bila kujiosha.

Nb..wanaume wenzangu haya ndio wanayo yafanya gizani dada zetu , kwa kweli inasikitisha sana
Umemaliza zote?
 
Mkuu we waache tu na vidude vyao wavifanye wanavyotaka! [emoji28]
Ni kweli ila mwenye hasara kubwa sana ni sisi wanaume ikitokea umekuja kuangukia kwa mwanamke aliefanya uchafu huu na ukamuoa.. akija kuugua utaingia hasara kubwa sana ya kutibu ugonjwa wake mpaka apone au apate nafuu.. na ikitokea amepoteza uwezo wa kuzaa ndio kabisaa ni hasara sana
 
d39d0b15-2d07-4d04-9280-5b58d375f0b5.jpg
 
Kuna njia zinazoelewaka kama
1. Kuwa busy na kazi
Ukiipa akili yako mawazo juu ya mapenzi mda wote basi utatawaliwa na mapenzi. Watu wanagundua na kubuni ila wewe utakuwa unamaliza oxygen bure. .

2. Kumix mafuta ya taa na chakula
Hii tunaona hata mashuleni wanachanganya mafuta ya taa kidogo kwenye chakula kuwaondolea wanafunzi mihemuko ya mapenzi

3. ....
 
Back
Top Bottom