Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Kuwa honest mzee kijana... Serengeti ina maji ila maji hayana serengeti. Ukiwa jiniaz kama mimi utakunywa serengeti... by default utakuwa ushakuwanywa maji. Ila ukinywa maji utakuwa hujanywa Serengeti.Haha ha ha h aha ha mzee huko kwenye Kvant na Serengeti unatafuta balaaa
Think Bonny, think!