Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,110
- 158,964
Mungu atusaidie tu kwakweli.
Mungu atusaidie tu kwakweli.
Unajua hapa duniani ..ukweli unakuaga sio mzuri...ila uongo ni mtamu sanaaa.Mungu atusaidie tu kwakweli.
Haha...haya bhn...Ntachagua maji ila nikiwa na soda yangu pembeni
Ninachofahamu mm sio kila muda utahitaji maji na sio kila wakat utahitaj soda kama vip dilute tu
Utafanya hivyo...ila i promise you...itakuwa vice versa...yaani..>>baada ya muda utachagua soda alafu na maji yako pembeni.Ntachagua maji ila nikiwa na soda yangu pembeni
Ha ha ha ha ha haUtafanya hivyo...ila i promise you...itakuwa vice versa...yaani..>>baada ya muda utachagua soda alafu na maji yako pembeni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana aiseeh,Ninachofahamu mm sio kila muda utahitaji maji na sio kila wakat utahitaj soda kama vip dilute tu
Aka mwenye tako na mvuto. Sawa Mungu anakupa.. lakin baadae unakuja gundua kuwa ndoa si tako wala si sura nzuri.. by the mwanamke kiburi juu juu sababu ya uzuri wakeUtaskia nataka mwanamke/mwanaume ambaye naweza kutembea naye barabarani..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Soda yenyewe ina maji ndani yake ila swala langu ni moja kwamba sio kila muda maji yatahtajika katika mwili so hapo ndio umuhimu wa juice unapoanzaHapana aiseeh,
Utakapohitaji afya nzuri..lazima maji yazidi soda katika mwili wako
So it means utahitaji maji kila muda.
Na ukisema uchanganye...likely lazima inakuwa na taste mbaya...utakunywa kwa muda then baadae utaichukia tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah ni kweli mkuu detective... Hatumaanishi wote ila hawa mademu ambao ni wazuri sanaaa, mvuto na wenye mawezere huwa wana kiburi cha kupindukia..Aka mwenye tako na mvuto. Sawa Mungu anakupa.. lakin baadae unakuja gundua kuwa ndoa si tako wala si sura nzuri.. by the mwanamke kiburi juu juu sababu ya uzuri wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah ni kweli mkuu bonny..ila what kind of juice does your body really need ..coz hizi za viwanadani zina kemikali sanaa..so i think hizi za "home made" na mashine za nyumbani ziko poa..Soda yenyewe ina maji ndani yake ila swala langu ni moja kwamba sio kila muda maji yatahtajika katika mwili so hapo ndio umuhimu wa juice unapoanza
Umetisha laanaNinachofahamu mm sio kila muda utahitaji maji na sio kila wakat utahitaj soda kama vip dilute tu
Ni kweli kabisa mkuu.Unajua hapa duniani ..ukweli unakuaga sio mzuri...ila uongo ni mtamu sanaaa.
So cha msingi ni kufix mind zetu ili zitambue na kuvisitili vya ukweli...na sio vile vya uongo au vinavyojifanya kuwa vya ukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bazazi nakusalimia.Ntachagua maji ila nikiwa na soda yangu pembeni
Shughuli ni pale soda inapochukua nafasi ya majiNtachagua maji ila nikiwa na soda yangu pembeni
Hujambo soda yanguBazazi nakusalimia.
Naomba uwe mchepuko wanguUtekelezaji saaaaaasa!!!
Ha ha ha ha ha basi usjal ntatumia maji kutengenezea fresh juice so ntakua nmekunywa maji na juiceYah ni kweli mkuu bonny..ila what kind of juice does your body really need ..coz hizi za viwanadani zina kemikali sanaa..so i think hizi za "home made" na mashine za nyumbani ziko poa..
Sent using Jamii Forums mobile app