Hataki mitandao ya simuM-wekeza na mgodi.
Hataki mitandao ya simuWeka m wekeza
Duh wewe unamwelekeza namna ya kutumia hela, hajaomba ushauri wa kitu cha kufanyia hela yakeNunua ardhi unayoweza kulipa kidogo kidogo,uwe unaweka huko hela yako,ikiwa unahitaji uwanja wa kujenga,lakini kama tiyari umejenga,anzisha biashara na hiyo hela,kila ukipokea mshahara unaongezea kwenye biashara.
We mpe njia atajua yeye anatunza niniSasa milion unatunza nin mkuu
Hataki mitandao ya simu yeye muhadzabeHataki mitandao ya simu
Yeye kaamua kutunza, we mpe njiaPesa haitakiwi itunzwe ? Pesa inapaswa iwe kwenye mzunguko wa kuzalisha zaidi.
Sasa utamlazimisha?Hataki mitandao ya simu yeye muhadzabe
Adumbukize chooniSasa utamlazimisha?
Una njia ya kuamua nikupeje njia ya kufanya🤔 si unaweza kuamua kunipuuzia tu?Yeye kaamua kutunza, we mpe njia
Yeah, labda atauchukua huu ushauriAdumbukize chooni
OhooooTumia Kibubu
Mara nyingi interest huwa sio chini ya 12% hupanda tegemea na faidaOkay mfano akaweka 2ml kwenye mfuko wa bond au liquid, atakuwa anapata interest ya % kwa kila mwezi ?