Upo Wapi Mkuu ?Habarini wana jf mimi naomb wenye kujua njia ya kutunza pesa ukiachan na bank na mitanndao ya sm .....nnaingiza milioni moja kwa mwezi
Kama sio bank ama mitandao ya simu basi ajiunge na viccoba
WamfilisiKama sio bank ama mitandao ya simu basi ajiunge na viccoba
Viccoba vinafilisi?Wamfilisi
kwakweli au achonge kibubuKama sio bank ama mitandao ya simu basi ajiunge na viccoba
Yan umwamin mtu akuekee pesa zako kwake labd uwe chiziViccoba vinafilisi?
How?
Sasa hapo kwenye mzunguko ndio kizungumkuti?Pesa haitakiwi itunzwe ? Pesa inapaswa iwe kwenye mzunguko wa kuzalisha zaidi.
Hivi kizungumkuti ndio nini 🤣Sasa hapo kwenye mzunguko ndio kizungumkuti?
Ni kama sintofahamu, kuchanganyikiwaHivi kizungumkuti ndio nini 🤣
Ni kama sintofahamu, kuchanganyikiwaHivi kizungumkuti ndio nini 🤣
Okay mfano akaweka 2ml kwenye mfuko wa bond au liquid, atakuwa anapata interest ya % kwa kila mwezi ?UTT kaka, mfuko wa bond, na mfuko wa liquid