Njia rahisi ya kujilipua Abroad, (Risk Takers & Wapambanaji tukutane hapa)

Kama sio wa kutoka nje ya nchi sio wa kutoka tu

Kuna siku niliweka post humu kuhusu Canada na program yao ya miaka mitano ambapo wanatafuta raia million 1 jamaa wanai promote kweli hiyo policy.

Moja ya watu wanaopewa kipaumbele ni wanachama wa jumuiya ya madola na waziri anae promote hiyo sera ni mwenye asili ya somalia kuonyesha africans ni watu wanaowataka hakuna hata mtu alieuliza swali utaratibu ukoje; kinachotokea waombaji wanakuwaga Pakistan, India, Bangladesh mpaka wanafuta na program zenyewe sisi waafrika tumelala.

Halafu ndio wafuate njia hizi complicated, wakuondoka wanapataga tu mbinu na wa kubaki ni kuwabaki tu
Mkuu wengine hatujapata fursa za kuiona post yako, tupe info kuhusu hiyo program ya Canada kama hutojali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta university moja inaitwa Newfoundland iko Canada, hawa jamaa ada zao ni very affordable and reasonable pia unaruhusiwa kulipa kwa instalment zaidi ya 5 kwa mwaka whole academic year.

Na Newfoundland ndio mji peke wenye watu wakarimu kuliko mji wowote ule Canada.. Ndio mji pekee ambapo wakazi wa pale huwaomba samahani wageni ikitokea kuna hali mbaya ya hewa.... Yaani wanasemaga... "I'm sorry for the bad weather sir" utadhani wao ndio wamesababisha hiyo hali mbaya ya hewa. Kuna tukio jingine kubwa la kikarimu walilifanya hadi Dunia ikashikwa na butwaa. It's absolutely great place to be on earth.
 
Tafuta university moja inaitwa Newfoundland iko Canada, hawa jamaa ada zao ni very affordable and reasonable pia unaruhusiwa kulipa kwa instalment zaidi ya 5 kwa mwaka whole academic year.

Na Newfoundland ndio mji peke wenye watu wakarimu kuliko mji wowote ule Canada.. Ndio mji pekee ambapo wakazi wa pale huwaomba samahani wageni ikitokea kuna hali mbaya ya hewa.... Yaani wanasemaga... "I'm sorry for the bad weather sir" utadhani wao ndio wamesababisha hiyo hali mbaya ya hewa. Kuna tukio jingine kubwa la kikarimu walilifanya hadi Dunia ikashikwa na butwaa. It's absolutely great place to be on earth.
canada.JPG


Hiki chuo ada zao zipo hivyo Kiongozi..!
Ndio nafuu uliyokua unaizungumzia hii chief,au wamepandisha..?
 
Hopefully wote tupo njema tukiendelea kupambana na hali zetu. Kutokana na hali ya tz kubana sana kumekua na harakati mbali mbali za raia kujaribu kupeperuka na kusaka maisha sehemu tofauti tofauti (Nje ya nchi).

Risk takers, Wazee wa kujilipua na watafutaji njooni tukutane hapa tupeane uzoefu jinsi ya kupasua huko mbele. Nitaelezea taarifa zote ambazo nazifahamu hatua kwa hatua, Kuanzia jinsi ya kupata Passport mpk mwisho, Then wenye ujuzi na uzoefu zaid watatusaidia kujazia. Lets Go.!!

Kuna njia tofauti zinazotumika ili kutoboa nje ila zinatofautiana ki gharama na risk. Hapa nitazungumzia njia ambayo ni less expensive (Haina gharama sana) na less risk (hatari yake ni ndogo), Hapa nazungumzia njia ya kwenda Kusoma either (Diploma, Bachelor, Masters and Post-Graduation).

Mainly nitaongelea Germany kwa kuwa nchi hii elimu ni bure vyuo vingi vya public kwa ngazi ya Degree & Masters. Mwanafunzi atachangia Semmester fee ambayo atalipa mara moja pindi anapoanza muhula na hii ina cover ticket fees ndan ya mji uliopo(chuoni) na nyingine inaenda kwa students services inategemea na mipango ya chuo na hii fee inaanzia €50-€350 kulingana na chuo, vyuo vingi vya miji mikubwa ndio vina semmester fee kubwa.

Pia utajihudumia gharama za kimaisha nwenyewe hapa nazungumzia Accomodation, Health insurance, Food , Books Entertainments(sio lazima). Tukianza ktk Accomodation unaweza tafuta students halls za chuo husika kama zipo.
Hizi huwa ni nafuu zaid kuliko kupanga appartment/flat za nje....students halls zinaweza kuanzia €150-€400 per month na flats /appartments nyingi huanzia €200-€600 per month hii pia inategemea na mji uliopo..miji mikubwa kama Berlin, Frankfurt am main, Hamburg, Munich na Dusseldorf maisha ni ghali ingawa ina nafasi nyingi za ajira.

Hapa sasa umeshapata mwanga jinsi maisha yatakavyokua na umejipanga vipi mambo ya tiketi nadhani yanajulikana.

Wanafunzi wengi wanatamani kupata hii nafasi ila wanakwama kutokana na sababu mbali mbali kama
1. Mitihani la Lugha IELTS na TOEFL
2. Lugha ya KIJERUMANI
3. Bank Statement/Sponsorship hii ni wakati wa kuomba VISA.
Hizi sababu haziwezi kukukwamisha still bado una nafasi kubwa tu ya kutusua, nitaelezea what i know na nilichokiona kwa watu wa pembeni.


1. JINSI YA KUPATA PASSPORT

Siku hizi zoezi hili limekua simple atleast sio kama zaman mpk utumie vishoka, cha kufanya ni kutimiza Vigezo vyote vinavyohitajika kama vile.

i) Kitambulisho Cha Taifa
Lazma uwe nacho bila hiki huwezi kukamilisha zoezi so hapa ni muhimu.

ii) Cheti cha kuzaliwa
Hiki pia muhimu kama unacho fresh no prob..kama huna fuatilia au jiongeze kwa wajanja. Kwa wale ambao wamezaliwa 1980 kurudi nyuma wanaruhusiwa kutumia affidavit km hawana vyeti, hii affidavit utalipa elfu 10 then watakupatia pale pale Immigration.

iii) Barua mbili. Moja ya maombi ya passport na nyingine ya mzazi kuthibitisha ombi lako hii utaambatanisha na kitambulisho chake cha kupiga kura au cha utaifa.Barua zote hizi zinapatikana stationary pale nje ya uhamiaji.

iv) vyeti vyako vya masomo, hivi vinajulikana.
Hapa utakua upo good to go..make sure umefuata taratibu za ujazaji form online umelipia na ushaprint..hii haina shida utasoma kwenye site yao watakupa maelekezo its simple. Baada ya wiki utakua ushapata passport yako.

2.KUTAFUTA VYUO.

Germany kuna intake mbili kwa mwaka, kuna Summer Semmester na Winter Semmester.
Winter semmester hii naiita semmester kubwa kwa kuwa vyuo vingi sana vinafunguliwa muda huu huwa inaanza August/September/October kulingana na ratiba ya chuo husika, Summer semmester hii inaanza March/April. So utaangalia kama utapata course yako stahiki kwa semmester ipi.
Hapa tunacho angalia ni vyuo ambavyo utapata course wanayofundisha kwa lugha ya kingereza tuu ili tukwepe gharama za kuhangaika kusoma kozi za lugha ili kupata cheti chao, Tumia Sites zifuatazo kupata unachohitaji
1. daad.de
2. study portals
Ukichagua course angalia je wanatoza ada? Vp requirements zao? ni mji gani chuo kipo ili kujiandaa na gharama za kuishi, jaribu ku contact na chuo kupitia E-mail ili kupata taarifa zaidi. Nashauri kuchagua chuo chenye requirements nyepesi ili kujiongezea nafasi ya kupata admission.

Kuhusu kigezo cha IELTS au TOEFL usiwe na shaka kuna vyuo haviitaji u submit hivi vyeti kama elimu yako umeipata in English, hapa wa TZ hatuna shida Elimu zetu ni kingeereza so we are good to go, au kama umefaulu sana somo la English pia ni advantage.

So baada ya kupata vyuo kinacho hitajika ni wewe kuandaa Documents zako muhimu kama vile

i) vyeti vyako vya masomo

ii) C.V

iii) Motivation Letter( hii utaelezea kwann wakupe nafasi hapo chuoni, jitahidi kuwashawishi)

iv) Passport

v) Extra curricular activities ( kama kuna internship uliwahi fanya unaweza attach).

3. KUFANYA APPLICATION

Hapa ndio kuna mambo yenyewe, kuna njia mbili za kufanya application ambazo nazifahamu.

i) kutumia UNI ASSIST.

ii) kutuma maombi Direct chuoni(Online Portal)
Hii njia ya kwanza vyuo vingi vinatumia ili kuweza kuwasaidia international students ambao hawajapata high school education in Germany, hivyo basi Uni Assist watakusaidia ku Convert Grade zako ziende kwa mfumo wa kijerumani. Njia hii ni nzuri ila ina gharama.
Kwa application ya kwanza utalipia €75 then kwa kila application inayofuata utalipia €30. Unachohitaji ni kujisajili na utaingia utachagua chuo chako then utajaza details zote ulizonazo.
NB: bado sijaitumia njii hii hivyo basi wanaoijua kwa kina wanaweza kutusaidia mpaka mwisho jinsi ya kuzituma.
Njia ya pili, hii ya kufanya application direct chuoni. Sijajua kama kuna vyuo vinakubali ufanye application kwa vyeti vya hapa Tz ila wapo watu waliokwenda Embassy ya Germany na wakasaidiwa vyeti vyao vikawa converted to Germany grades then wakafanya application.

NB: hapa pia kunahitaji ujaziaji kwa wale waliofanya application kwa njia hii.
Nitaweka list ya vyuo vinavyo fundisha baadhi ya course in English (Undergraduate) lakini pia masters ni nyingi zaidi.

NB: vyuo hivi nimeweka kwa wale ambao wanataka ku apply summer semmeater najana ndio wameanza kupokea maombi mwisho ni 15 january na kuanza masomo ni 1March/April. Hivyo basi kuna vyuo vingi sana ila vingine ni Winter semmester yani kuanza masomo October 2019 kwa wanaovumilia watasubiri pia, usajili wake ni May-July .

1. HTW Berlin
2. Worms University
3. Deggendorf Institute of Technology
4. Johannes Guternberg University
5. University of Tubingen
6. Technische Hoschule Nurnberg
7. Leuphana University
8. University of Bamberg
9. Hildeshein University
10. Koblenz University.

Wenye ujuzi na experience zaidi watatusaidia zaid katika kufanya maombi.

4. VISA Application

Hapa ni sehemu ya kuomba mungu sana uwe na bahati lakini pia ujipange haswa katika pande mbili, moja uwe mkamilifu wa documents zote zinazohitajika na ziwe za uhakika ili kuepusha mvurugano wakianza kukuulizaaswali. Pili ujipange kiakili kujibu maswali kama utafanyiwa interview.

Requirements muhimu wame orodhesha katika site yao hivyo utaziandaa kwa student hakuna nyingi na hazipo complicated but main issue inakua jinsi gani utakua funded. Wengi wetu humu tunaenda ku hustle kule kupata maisha hivyo uhalisia ni kwamba hatuna pesa, je tutapita vipi hiki kipengele.?

Ipo hivi tafuta bank statement ya mtu yeyote ambaye unafaham ana mzunguko mkubwa wa pesa almost 20m is enough au zaidi will be much better. Then utasema huyu ni sponsor wako ambaye ni ndugu wa karibu kama haweza kuhudhuria kwenye interview basi uende mahakamani ukawekewe muhuri wa kiapo cha kuthibitisha ni kwl anakudhamin. Then wanaweza wakampigia simu kumuuliza maswali mawili matatu so ni vizur ukaweka namba za mtu ambaye umempanga vizur na anajua nn cha kujibu. Nadhani ukipita kipengele hiki utakua ktk nafasi nzuri

Tuhamie upande wa Interview kama utafanyiwa wengine hawafanyiwi kabisa kutokana na ukamilifu wa documents zao. Kuna maswali ambayo ni Common na ukijibu vizuri basi una nafasi kubwa ya kupata VISA yako. Maswali ni kama yafuatyo:-

1. Jina lako na Taarifa za msingi

2. Kwanini umechagua kozi hiyo?

3. Kwanini huwezi kusoma hapa hapa tz?

4. Kwanini sio U.S or Canada?

5. Utafanya nn baada ya Elimu yako?

6. Una ndugu au jamaa huko?

7. Umejipanga vipi na safari yako?

8. Nani anakufadhili na uhusiano wenu?

9. Unajua nini kuhusu Ujerumani?

Nadhani kutakuwa na majibu tofauti tofauti kulingana na upana wa uelewa wetu, kikubwa ni kutoa majibu sahihi na kuonyesha kuwa utarudi na confidence ni muhimu sana.

Mpaka hapa nimejitahidi kuweka taarifa ambazo nazifahamu so kama kuna sehemu nimeyumba wajuzi zaidi na wenye uzoefu watanisaidia kuongeza au kurekebisha.

Usikate tamaa kila kitu kinawezekana despite of challenges zilizopo ktk kila stage just focus on the main Goal.

Lets meet there.....!!!

Best Regards,

Bastille.
Asante sana Mkuu!! Darasa lako linatosha sana!
Uandishi na mpangilio mzuri mno.
 
Hopefully wote tupo njema tukiendelea kupambana na hali zetu. Kutokana na hali ya tz kubana sana kumekua na harakati mbali mbali za raia kujaribu kupeperuka na kusaka maisha sehemu tofauti tofauti (Nje ya nchi).

Risk takers, Wazee wa kujilipua na watafutaji njooni tukutane hapa tupeane uzoefu jinsi ya kupasua huko mbele. Nitaelezea taarifa zote ambazo nazifahamu hatua kwa hatua, Kuanzia jinsi ya kupata Passport mpk mwisho, Then wenye ujuzi na uzoefu zaid watatusaidia kujazia. Lets Go.!!

Kuna njia tofauti zinazotumika ili kutoboa nje ila zinatofautiana ki gharama na risk. Hapa nitazungumzia njia ambayo ni less expensive (Haina gharama sana) na less risk (hatari yake ni ndogo), Hapa nazungumzia njia ya kwenda Kusoma either (Diploma, Bachelor, Masters and Post-Graduation).

Mainly nitaongelea Germany kwa kuwa nchi hii elimu ni bure vyuo vingi vya public kwa ngazi ya Degree & Masters. Mwanafunzi atachangia Semmester fee ambayo atalipa mara moja pindi anapoanza muhula na hii ina cover ticket fees ndan ya mji uliopo(chuoni) na nyingine inaenda kwa students services inategemea na mipango ya chuo na hii fee inaanzia €50-€350 kulingana na chuo, vyuo vingi vya miji mikubwa ndio vina semmester fee kubwa.

Pia utajihudumia gharama za kimaisha nwenyewe hapa nazungumzia Accomodation, Health insurance, Food , Books Entertainments(sio lazima). Tukianza ktk Accomodation unaweza tafuta students halls za chuo husika kama zipo.
Hizi huwa ni nafuu zaid kuliko kupanga appartment/flat za nje....students halls zinaweza kuanzia €150-€400 per month na flats /appartments nyingi huanzia €200-€600 per month hii pia inategemea na mji uliopo..miji mikubwa kama Berlin, Frankfurt am main, Hamburg, Munich na Dusseldorf maisha ni ghali ingawa ina nafasi nyingi za ajira.

Hapa sasa umeshapata mwanga jinsi maisha yatakavyokua na umejipanga vipi mambo ya tiketi nadhani yanajulikana.

Wanafunzi wengi wanatamani kupata hii nafasi ila wanakwama kutokana na sababu mbali mbali kama
1. Mitihani la Lugha IELTS na TOEFL
2. Lugha ya KIJERUMANI
3. Bank Statement/Sponsorship hii ni wakati wa kuomba VISA.
Hizi sababu haziwezi kukukwamisha still bado una nafasi kubwa tu ya kutusua, nitaelezea what i know na nilichokiona kwa watu wa pembeni.


1. JINSI YA KUPATA PASSPORT

Siku hizi zoezi hili limekua simple atleast sio kama zaman mpk utumie vishoka, cha kufanya ni kutimiza Vigezo vyote vinavyohitajika kama vile.

i) Kitambulisho Cha Taifa
Lazma uwe nacho bila hiki huwezi kukamilisha zoezi so hapa ni muhimu.

ii) Cheti cha kuzaliwa
Hiki pia muhimu kama unacho fresh no prob..kama huna fuatilia au jiongeze kwa wajanja. Kwa wale ambao wamezaliwa 1980 kurudi nyuma wanaruhusiwa kutumia affidavit km hawana vyeti, hii affidavit utalipa elfu 10 then watakupatia pale pale Immigration.

iii) Barua mbili. Moja ya maombi ya passport na nyingine ya mzazi kuthibitisha ombi lako hii utaambatanisha na kitambulisho chake cha kupiga kura au cha utaifa.Barua zote hizi zinapatikana stationary pale nje ya uhamiaji.

iv) vyeti vyako vya masomo, hivi vinajulikana.
Hapa utakua upo good to go..make sure umefuata taratibu za ujazaji form online umelipia na ushaprint..hii haina shida utasoma kwenye site yao watakupa maelekezo its simple. Baada ya wiki utakua ushapata passport yako.

2.KUTAFUTA VYUO.

Germany kuna intake mbili kwa mwaka, kuna Summer Semmester na Winter Semmester.
Winter semmester hii naiita semmester kubwa kwa kuwa vyuo vingi sana vinafunguliwa muda huu huwa inaanza August/September/October kulingana na ratiba ya chuo husika, Summer semmester hii inaanza March/April. So utaangalia kama utapata course yako stahiki kwa semmester ipi.
Hapa tunacho angalia ni vyuo ambavyo utapata course wanayofundisha kwa lugha ya kingereza tuu ili tukwepe gharama za kuhangaika kusoma kozi za lugha ili kupata cheti chao, Tumia Sites zifuatazo kupata unachohitaji
1. daad.de
2. study portals
Ukichagua course angalia je wanatoza ada? Vp requirements zao? ni mji gani chuo kipo ili kujiandaa na gharama za kuishi, jaribu ku contact na chuo kupitia E-mail ili kupata taarifa zaidi. Nashauri kuchagua chuo chenye requirements nyepesi ili kujiongezea nafasi ya kupata admission.

Kuhusu kigezo cha IELTS au TOEFL usiwe na shaka kuna vyuo haviitaji u submit hivi vyeti kama elimu yako umeipata in English, hapa wa TZ hatuna shida Elimu zetu ni kingeereza so we are good to go, au kama umefaulu sana somo la English pia ni advantage.

So baada ya kupata vyuo kinacho hitajika ni wewe kuandaa Documents zako muhimu kama vile

i) vyeti vyako vya masomo

ii) C.V

iii) Motivation Letter( hii utaelezea kwann wakupe nafasi hapo chuoni, jitahidi kuwashawishi)

iv) Passport

v) Extra curricular activities ( kama kuna internship uliwahi fanya unaweza attach).

3. KUFANYA APPLICATION

Hapa ndio kuna mambo yenyewe, kuna njia mbili za kufanya application ambazo nazifahamu.

i) kutumia UNI ASSIST.

ii) kutuma maombi Direct chuoni(Online Portal)
Hii njia ya kwanza vyuo vingi vinatumia ili kuweza kuwasaidia international students ambao hawajapata high school education in Germany, hivyo basi Uni Assist watakusaidia ku Convert Grade zako ziende kwa mfumo wa kijerumani. Njia hii ni nzuri ila ina gharama.
Kwa application ya kwanza utalipia €75 then kwa kila application inayofuata utalipia €30. Unachohitaji ni kujisajili na utaingia utachagua chuo chako then utajaza details zote ulizonazo.
NB: bado sijaitumia njii hii hivyo basi wanaoijua kwa kina wanaweza kutusaidia mpaka mwisho jinsi ya kuzituma.
Njia ya pili, hii ya kufanya application direct chuoni. Sijajua kama kuna vyuo vinakubali ufanye application kwa vyeti vya hapa Tz ila wapo watu waliokwenda Embassy ya Germany na wakasaidiwa vyeti vyao vikawa converted to Germany grades then wakafanya application.

NB: hapa pia kunahitaji ujaziaji kwa wale waliofanya application kwa njia hii.
Nitaweka list ya vyuo vinavyo fundisha baadhi ya course in English (Undergraduate) lakini pia masters ni nyingi zaidi.

NB: vyuo hivi nimeweka kwa wale ambao wanataka ku apply summer semmeater najana ndio wameanza kupokea maombi mwisho ni 15 january na kuanza masomo ni 1March/April. Hivyo basi kuna vyuo vingi sana ila vingine ni Winter semmester yani kuanza masomo October 2019 kwa wanaovumilia watasubiri pia, usajili wake ni May-July .

1. HTW Berlin
2. Worms University
3. Deggendorf Institute of Technology
4. Johannes Guternberg University
5. University of Tubingen
6. Technische Hoschule Nurnberg
7. Leuphana University
8. University of Bamberg
9. Hildeshein University
10. Koblenz University.

Wenye ujuzi na experience zaidi watatusaidia zaid katika kufanya maombi.

4. VISA Application

Hapa ni sehemu ya kuomba mungu sana uwe na bahati lakini pia ujipange haswa katika pande mbili, moja uwe mkamilifu wa documents zote zinazohitajika na ziwe za uhakika ili kuepusha mvurugano wakianza kukuulizaaswali. Pili ujipange kiakili kujibu maswali kama utafanyiwa interview.

Requirements muhimu wame orodhesha katika site yao hivyo utaziandaa kwa student hakuna nyingi na hazipo complicated but main issue inakua jinsi gani utakua funded. Wengi wetu humu tunaenda ku hustle kule kupata maisha hivyo uhalisia ni kwamba hatuna pesa, je tutapita vipi hiki kipengele.?

Ipo hivi tafuta bank statement ya mtu yeyote ambaye unafaham ana mzunguko mkubwa wa pesa almost 20m is enough au zaidi will be much better. Then utasema huyu ni sponsor wako ambaye ni ndugu wa karibu kama haweza kuhudhuria kwenye interview basi uende mahakamani ukawekewe muhuri wa kiapo cha kuthibitisha ni kwl anakudhamin. Then wanaweza wakampigia simu kumuuliza maswali mawili matatu so ni vizur ukaweka namba za mtu ambaye umempanga vizur na anajua nn cha kujibu. Nadhani ukipita kipengele hiki utakua ktk nafasi nzuri

Tuhamie upande wa Interview kama utafanyiwa wengine hawafanyiwi kabisa kutokana na ukamilifu wa documents zao. Kuna maswali ambayo ni Common na ukijibu vizuri basi una nafasi kubwa ya kupata VISA yako. Maswali ni kama yafuatyo:-

1. Jina lako na Taarifa za msingi

2. Kwanini umechagua kozi hiyo?

3. Kwanini huwezi kusoma hapa hapa tz?

4. Kwanini sio U.S or Canada?

5. Utafanya nn baada ya Elimu yako?

6. Una ndugu au jamaa huko?

7. Umejipanga vipi na safari yako?

8. Nani anakufadhili na uhusiano wenu?

9. Unajua nini kuhusu Ujerumani?

Nadhani kutakuwa na majibu tofauti tofauti kulingana na upana wa uelewa wetu, kikubwa ni kutoa majibu sahihi na kuonyesha kuwa utarudi na confidence ni muhimu sana.

Mpaka hapa nimejitahidi kuweka taarifa ambazo nazifahamu so kama kuna sehemu nimeyumba wajuzi zaidi na wenye uzoefu watanisaidia kuongeza au kurekebisha.

Usikate tamaa kila kitu kinawezekana despite of challenges zilizopo ktk kila stage just focus on the main Goal.

Lets meet there.....!!!

Best Regards,

Bastille.
Hii ya kutafuta vyuo need much money.
 
Habarini wakuu, bila kupepesa macho niingie kwenye topic moja kwa moja, nimekuwa nikipitia nyuzi mbali mbali za kuhusu kuzamia au kujilipua kwa nchi za ulaya na america hasa ya kaskazini hapa namaanisha USA bby, KWANINI WACHANGIAJI WENGI WAMEKUWA WAKISEMA KUBEBA BOX ILIKUWA ZAMANI???. Karibia kila uzi wachangiaji wanasema kubeba box ilikuwa zamani na blaa blaa kibao tambueni MNATUKATISHA TAMAA SISI WENYE NIA YA KUJIRIPUA hivi karibuni...
KAMA UNA DONDOO ZA NAMNA YA KUJILIPUA TIRIRIKA HAPA


Uzi tayari...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Subiri huu ugonjwa wa wazee wa uchina upite kwanza hayo tutayaweka sawa.
Habarini wakuu, bila kupepesa macho niingie kwenye topic moja kwa moja, nimekuwa nikipitia nyuzi mbali mbali za kuhusu kuzamia au kujilipua kwa nchi za ulaya na america hasa ya kaskazini hapa namaanisha USA bby, KWANINI WACHANGIAJI WENGI WAMEKUWA WAKISEMA KUBEBA BOX ILIKUWA ZAMANI???. Karibia kila uzi wachangiaji wanasema kubeba box ilikuwa zamani na blaa blaa kibao tambueni MNATUKATISHA TAMAA SISI WENYE NIA YA KUJIRIPUA hivi karibuni...
KAMA UNA DONDOO ZA NAMNA YA KUJILIPUA TIRIRIKA HAPA


Uzi tayari...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Andaa kwanza kama 💵 5000 hivi kwa ajili ya VISA, Plane ticket pamoja na kuanzia maisha ya ughaibuni
 
Back
Top Bottom