Njia panda ya mapenzi

Kwani ulimpa kitu gani mpaka amechanganyikiwa au ulimpeleka kwa mpalange
 
Mie sio muislam so sijui
 
Nimechukua hatua mumewe ndio king'ang'anizi.

Sasa hiyo ni hatua? Ungekata mawasiliano sio unaendeleza mawasiliano alaf unasema umechukua hatua. Huyo mwanaume nae bwege sana na hapo hajatiliwa limbwata anakuwa speed hivyo ana mke simu za usiku anazipendea nn au ndio anakuchunga?
 
kimsingi ukianzisha uhusiano vichochoroni ni kinyume na utaratibu, unataka kuongeza mke fata taratibu Kama dini husika ilivyoagiza. Na taratibu ziko wazi kabisa
 
kimsingi ukianzisha uhusiano vichochoroni ni kinyume na utaratibu, unataka kuongeza mke fata taratibu Kama dini husika ilivyoagiza. Na taratibu ziko wazi kabisa
Ahsante Mkuu. Kwa hiyo taratibu ni kumwooa binti ambaye hamjawahi kuwa na mahusiano kabisa?
 
Ahsante Mkuu. Kwa hiyo taratibu ni kumwooa binti ambaye hamjawahi kuwa na mahusiano kabisa?
ndiyo hivyo mkuu. Ila kwa dunia ya sasa ni changamoto kweli
 
Reactions: Mj1
Wewe cha msingi uhame mtaa tu kwa usalama wako au usubirie kulogwa 😂😂😂 kama hutaacha mchezo wa kumuibia mwenzio mume!!!
Halafu mbona vijana tulio single ni wengi mtaani, mnkwama wapi?
 
Sasa mwambie akuhalalishe na akutambulishe kwa mkewe
 
Mimi ushauri wangu mng’ang’anie huyo mwanaume usikubali kupigwa mkwara kijinga hivo mume wa mtu mtamu
 
Naona mdau ameanza kushiboka na kabichi za mpito...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…