Kipepeo wa chuma1
JF-Expert Member
- Jan 17, 2021
- 387
- 558
- Thread starter
-
- #21
Nimechukua hatua mumewe ndio king'ang'anizi.Ubaya ushautafuta we jiandae tu hujui atakufanyia nini ili akukomeshe maana alikuomba kiustarabu kabisa hukutaka kuchukua hatua ngoja ugeuzwe kuku .
Yani unacheza na moto wewe binadamu utakuunguza... Hivi hamjifunzi kutokana na makosa waliyokwishafanya wenzenu.No ilitokea tu tunapendana,na nilivyojua Ana mke nikajitahidi isijulikane, that's y kwa miezi mi5 yote hakuwahi jua,amejua baada ya Mimi kuwa mbali na jamaa kuzidisha mawasiliano.
Habari za mchana wadau.
Ni hivi ni takriban miezi sita Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu,tunapendana Sana na tumespend Sana kipindi cha miez mitano iliyopita bila mkewe kujua.
Nikapata Safari mkoa flan,tukawa tunawasiliana kwenye simu almost every day and night.Sasa mhusika akawa hafuti zile simu na meseji tunazoandikiana.Akabadilika na tabia kwani kila usiku ilikuwa lazima tuzungumze hata hadi saa 8 za usiku.Mkewe akamchunguza simu yake akagundua Hilo, akachukua na namba yangu.
Sikumoja akanipigia simu usiku wa manane akanionya kuhusu kutoka na mumewe,akanambia ananipa taarifa kistaarabu ,nikamjibu nimemwelewa na nitaacha.Mchana akanipigia mumewe kunijulia hali,nikamweleza hali halisi ya mkewe kugundua penzi letu na mkwara alionipiga,nikamsihi aache kunipigia simu hasa usiku.Akanambia sawa.
Baada ya sikumbili wamekaa sehemu na mkewe usiku,akatoka pembeni kunipigia simu,mkewe akamwona,alivyorudi walipokuwa wameketi,mkewe akachukua simu ya mumewe kuangalia jamaa alikuwa anaongea na Nani,akakuta ni Mimi.Basi ukazuka ugomvi mkubwa Hadi kuvunjiana simu na mwanamke kuondoka nyumbani.
Asubuhi jamaa akanipigia simu kunielezea kisa kile,nikamshauri amfate mkewe ambembeleze arudi nyumbani.Kweli akafanya hivyo.Tatizo jamaa amegoma kutonipigia simu,anapiga hadi usiku.Wasiwasi wangu nakaribia kurudi toka Safari,halafu tunaishi majiran,je akinivamia?manake alishanionya nikamwelewa Ila tatizo mumewe kawa king'ang'anizi kwangu.
Wadau nifanyeje kwenye scenario hii?
Mie sio muislam so sijuiMimi hapa ndipo ninapopata kizunguzungu....Kiimani (Islamic) mume anaruhusiwa kuongeza mke wa pili mpaka hata wa nne...... Wakati akiwa kwenye hii process je huyo mwanamke wa nyongeza (wa pili, tatu au nne) huwa haihesabiki kama anakuwa na mahusiano na mume wa mtu? Au Kiislamu kuwa na mahusiano na mume wa mtu sio dhambi?
Wala imetokea tuKwani ulimpa kitu gani mpaka amechanganyikiwa au ulimpeleka kwa mpalange
Nimechukua hatua mumewe ndio king'ang'anizi.
kimsingi ukianzisha uhusiano vichochoroni ni kinyume na utaratibu, unataka kuongeza mke fata taratibu Kama dini husika ilivyoagiza. Na taratibu ziko wazi kabisaMimi hapa ndipo ninapopata kizunguzungu....Kiimani (Islamic) mume anaruhusiwa kuongeza mke wa pili mpaka hata wa nne...... Wakati akiwa kwenye hii process je huyo mwanamke wa nyongeza (wa pili, tatu au nne) huwa haihesabiki kama anakuwa na mahusiano na mume wa mtu? Au Kiislamu kuwa na mahusiano na mume wa mtu sio dhambi?
Ahsante Mkuu. Kwa hiyo taratibu ni kumwooa binti ambaye hamjawahi kuwa na mahusiano kabisa?kimsingi ukianzisha uhusiano vichochoroni ni kinyume na utaratibu, unataka kuongeza mke fata taratibu Kama dini husika ilivyoagiza. Na taratibu ziko wazi kabisa
Sinaga michezo hiyo,ni kumheshimu tu,kmsikiliza,kumsapot kazi zake etcumempa nini!??? Siyo rosti laini lenye mafuta kemkem!??
ndiyo hivyo mkuu. Ila kwa dunia ya sasa ni changamoto kweliAhsante Mkuu. Kwa hiyo taratibu ni kumwooa binti ambaye hamjawahi kuwa na mahusiano kabisa?
Sasa mwambie akuhalalishe na akutambulishe kwa mkeweHabari za mchana wadau.
Ni hivi ni takriban miezi sita Niko kwenye mahusiano na mume wa mtu,tunapendana Sana na tumespend Sana kipindi cha miez mitano iliyopita bila mkewe kujua.
Nikapata Safari mkoa flan,tukawa tunawasiliana kwenye simu almost every day and night.Sasa mhusika akawa hafuti zile simu na meseji tunazoandikiana.Akabadilika na tabia kwani kila usiku ilikuwa lazima tuzungumze hata hadi saa 8 za usiku.Mkewe akamchunguza simu yake akagundua Hilo, akachukua na namba yangu.
Sikumoja akanipigia simu usiku wa manane akanionya kuhusu kutoka na mumewe,akanambia ananipa taarifa kistaarabu ,nikamjibu nimemwelewa na nitaacha.Mchana akanipigia mumewe kunijulia hali,nikamweleza hali halisi ya mkewe kugundua penzi letu na mkwara alionipiga,nikamsihi aache kunipigia simu hasa usiku.Akanambia sawa.
Baada ya sikumbili wamekaa sehemu na mkewe usiku,akatoka pembeni kunipigia simu,mkewe akamwona,alivyorudi walipokuwa wameketi,mkewe akachukua simu ya mumewe kuangalia jamaa alikuwa anaongea na Nani,akakuta ni Mimi.Basi ukazuka ugomvi mkubwa Hadi kuvunjiana simu na mwanamke kuondoka nyumbani.
Asubuhi jamaa akanipigia simu kunielezea kisa kile,nikamshauri amfate mkewe ambembeleze arudi nyumbani.Kweli akafanya hivyo.Tatizo jamaa amegoma kutonipigia simu,anapiga hadi usiku.Wasiwasi wangu nakaribia kurudi toka Safari,halafu tunaishi majiran,je akinivamia?manake alishanionya nikamwelewa Ila tatizo mumewe kawa king'ang'anizi kwangu.
Wadau nifanyeje kwenye scenario hii?
Alishapanga kunitambulisha nikitoka Safari,Sasa bibie kajua kabla sijatambulishwa na kareact.Sasa mwambie akuhalalishe na akutambulishe kwa mkewe