Habari wana jamii...
Naomba kuulizia wasifu wa wasichana/wanawake WAKISIMBITI kutoka kanda ya ziwa, tafadhali sana pasipo hisia,tetesi, kupakana/kudhalilishana n.k.
Unataka mwanamke au kabila? kama unataka kuoa kabila basi kaoe la kwenu tu maana unalijua vizuri, lakini kama ni mwanamke muanagalie mwenyewe, wanawake hawafananishwi ila vimada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.