Ipi ni njia rahisi kwako kati ya T1 au kanda ya ziwa

Itscharlie

JF-Expert Member
Apr 15, 2022
3,794
15,772
Eti kuna ukweli wowote juu ya msemo madereva wa kanda ya ziwa hawana uwezo waku battle mbele ya njia ya nyanda ya kusini.?

NB: Inasemekana njia za nyanda ya kusini ni ngumu zaidi kuliko kanda ya ziwa... Vipi imekaaje hii wakuu tupe uzoefu wako.

Kwangu Mimi naona nyanda za juu kusini ni njia ya kiume sana hasa ukianzia hapo iyovi,kitonga, na kuendelea transit,IT ni nyingi mno umakini wako ndio usalama wako.


Karibuni tuchangie.
 
Dar mwanza sio mchezo.. km 1200 ni safari ya kiume sana.

Gari inatoka Dar giza bado lipo hakujakucha. Na bado Mwanza inaingia giza limeshachanganya.

Mbeya pafupi sana. Ndio maana wanatamba sana
 
Eeh mitaa yangu hio .. ila hizi mambo hazina ukwel wowote... Dereva ni kuwa makini na kufuata sheria tu...
Nenda lukumbulu huko ukakutane na utelezi wa kwenye lami!!! Saa nane mchana wa jua kali gari inakumwaga katikati ya barabara !! Unaeza sema umelogwa
Experience matters a lot japo kufata sheria pia ni muhimu
 
Nenda lukumbulu huko ukakutane na utelezi wa kwenye lami!!! Saa nane mchana wa jua kali gari inakumwaga katikati ya barabara !! Unaeza sema umelogwa
Experience matters a lot japo kufata sheria pia ni muhimu
Ukiambiwa kuwa makini, wewe unaelewaje?
 
Eti kuna ukweli wowote juu ya msemo madereva wa kanda ya ziwa hawana uwezo waku battle mbele ya njia ya nyanda ya kusini.?

NB: Inasemekana njia za nyanda ya kusini ni ngumu zaidi kuliko kanda ya ziwa... Vipi imekaaje hii wakuu tupe uzoefu wako.

Kwangu Mimi naona nyanda za juu kusini ni njia ya kiume sana hasa ukianzia hapo iyovi,kitonga, na kuendelea transit,IT ni nyingi mno umakini wako ndio usalama wako.


Karibuni tuchangie.
Ugumu wa hizo njia ni upi??
 
Back
Top Bottom