Sio wote wanaweza hiiMwaga nje tu
Kama mume sio chapombeNjia ya asili, kufuata mzunguko wa hedhi, siku salama!
Haiko effective kabisa, kasome bios tena kuna zile vihelehele zinashoot mapema sana.Mwaga nje tu
Wewe huiwezi hii?sio wote wanaweza hii
Ndo hizo unatakiwa kuzimwaga nje mzeeHaiko effective kbs.kasome bios tena..kuna zile vihelehele znashoot mapema sana
Yes wanasema yale maji maji hutoka na baadhi ya sperms loh Mungu atusaidie kwa kweli hakuna kilicho salamaHaiko effective kbs.kasome bios tena..kuna zile vihelehele znashoot mapema sana
kuna sa asili kama majivu, mbegu za mnyonyo na kufungia kitambaa
Yaani wewe itakua ulikua unazingatia sana mapindi... ni kweli Bios imesema. Unavyo chatigi umu/argue mi nafikiriaga ww ni older sana nmeshtuka you still remember. Mimi io Bios ya ivi nmeisoma 2010๐!Haiko effective kbs.kasome bios tena..kuna zile vihelehele znashoot mapema sana