Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,934
- 8,156
Ndugu zangu habari.
Kwa wazoefu naombeni mtujuze ni ipi njia bora ya kununua viwanja katika mkoa wa Arusha kati ya zifuatazo.
1: Manispaa / ofisi za ardhi
2: Kwa mtu binafsi
3: madalali au makampuni yanayojihusisha na kuuza viwanja.
Asanteni
Kwa wazoefu naombeni mtujuze ni ipi njia bora ya kununua viwanja katika mkoa wa Arusha kati ya zifuatazo.
1: Manispaa / ofisi za ardhi
2: Kwa mtu binafsi
3: madalali au makampuni yanayojihusisha na kuuza viwanja.
Asanteni