Kipimo cha uzwa uzwa ni mtu kuamini "The Bigbang" kuna watu wajinga hapa duniani,ila hawa wakana mungu ndiyo viongozi wao.Naamini hawa wana tekeleza ahadi ya ibilis yani wanafanya kazi moja kutoa watu katika haki.
Wanajitahidi mnoo yani mtu aamini bingbang dah
Kuna mmoja huku aliongelea kuhusu energy,sasa unamuuliza energy ina maarifa ? Ina sanifu ? Ina malengo ? Ina hekima ? Anakujibu nenda kasome,yaani wao wanaamini ya kuwa kinachoendesha dunia ni energy ukimwambia atueleze hiyo energy inaendesha vipi mambo ? Hajibu mwisho wa siku anakwambia "Mara hujii kuhoji" mara ooh,yaani hawana hoja zaidi ya dhana tu.