Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,388
- 105,244
Kwani hayo maswali unayoulizwa hapa hujawahi ulizwa kwenye nyuzi zingine? Mbona unayajibu? Kwanini usiwaelekeze wakafate majibu ya hayo maswali kwenye hizo nyuzi zingine ambazo ulikua ukijibu?Nashiriki katika mijadala ambayo siulizwi swali hilo. Ndiyo maana ulipouliza swali nimekujibu kwamba kazi hiyo nimeshaimaliza zamani.
Kwahiyo rejea katika hiyo mijadala ya nyuma.
Maana yake mlango huo nimeshaufunga na hakuna wakupinga nilicho kiandika. Kwahiyo haijalishi idadi za hapo nyuma lakini kwa sasa kazi hiyo nimeshaimaliza ndiyo maana hata katika mjadala huu tunamkosoa mtoa mada kwa uvivu wake wa kufikiri.
Unaposema nijikite kwenye mada wapi nimetoka nje ya mda kijana ?
Nakupa kazi hiyo warejeshe katika nyuzi ambazo tulijadiliana kuhusu ithibati ya uwepo wa Mola. Maana unaweza kukataa pia kama hatujawahi kujadili hili.
Sasa mboma unaleta dhana kijana ? Au umesahau kama hatujawahi kujadiliana kuhusu hili ? Kama ni hivyo unavyo sema,sisi tunasema hivi kilicho andikwa kimeandikwa,rejea hiyo mijadala ya nyuma kisha kosoa nilicho kithibitisha.
Hii kazi nimeshaifanya zaidi ya mara kumi humu na hakuna aliyeweza kukosoa ithibati wala hakuna aliye weza kuthibitisha ya kuwa Mola hayupo.
Mi nadhani probably ni maswali mepesi kwa upande wako na ndio maana unajibu, ila swali la kuthibitisha mungu yupo huwenda ni swali gumu ambalo huna majibu sahihi na ndio maana hulijibu
Na sio kweli kua umewahi kuthibitisha, hata huko kwenye hiyo mijadala ulikua uanaishia kusema hivyo hivyo kua tayari nilishawahi kuthibitisha
Kama una pinga kua hujawahi kuthibitisha weka nukuu ya uzi ukiambatanisha na post ambayo ulithibitisha mungu yupo