Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,445
Baba Enock, heshima yako nimeishusha, yaani mkeo unamuita vuvuzela!!!!!!!!! khaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!! nilikuwa nasikiaga watu wanasema mitaani sasa hii ni live bila chenga, hebu futa jina hilo harakaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.
Na kumbe una nyumba ndogo eeeeeee, jamani why!!!!!!!!!!!!!
aine,
Narudia tena "live" bila chenga - nina vuvu.zela na nina mipango ya pembeni mingi tu...!
Sawa?