Njaa ya Mabinti Bwana

no money no honey,so wewe gharamika then gonga kimtindoi alafu sepa. iyo ndo kawaida ya mademu wa siku hizi hasa hawa vicheche, ila sisi waume za watu tushazoea na sahivi wanatupenda wenyewe.ila inakuwaje nawe sahvi demu umweleze unampenda,chamsingi mkute road pale ifm kamata mkono ingia pale savanah mpe glass mbili za wine then kamata tena mkono peleka kwenye hotel ya karibu na anapoishi kula mzigo tena kamata mkono rudisha nyumban kwao. subiria simu kesho asubuh ya kukumis then nawe jibu i miss u too.mchezo kwisha divert namba yake kwa wife akipiga tuu anapewa makavu yake,.unasonga mbele kwa kichwa kingine.
duh hii policy ya kutwanga totoz namna hii,...
 
hii ina chekesha sanaa napenda watu wasema kweli kama hivyo hahahaa .. :caked:
 
Hivi jamani ni kwa nini Mabinti/Wasichana huamini kuwa rafiki wa Kiume ni mtu wa kupigwa Mizinga kwenye kila kitu, kuanzia vocha, simu, mavazi, shida zingine za uongo, n.k? Ni kwa nini ukitoka naye anaagiza vitu vya thamani wakati hajui ulicho nacho mfukoni na wakati huohuo mfukoni anakuwa hana fedha za kutosha anachojigharamia? Utasikia niletee Savannah/Heineken/Miller/Serengeti Ndogo. Niletee Chips na nusu Kuku halafu weka na mayai mawili. Utadhani ndo siku mwisho kula. Hivi hawa watu hawana mawazo ya savings/maendeleo? Wanafikiria leo hapo mezani tu? Na ndo maana jamaa wengi huishia kula mara moja, ya pili ni kwa nadra sana.
Pole sana chalii karibu bongo daresalama

Niliwahi kuwaachia bill mezani maana nilimuita akaja na marafiki wawili mmoja demu na mwanaume mmoja mkongo,
demu aliagiza miller,mkongo heineken na yule demu niliekua namfukuzia smirnof nililipa wakati nacheza pool
mtu wa jikoni akanifata kutaka hela ya kuku choma nikamwambia aliyeagiza ndie mlipaji
Mi labda waje zaidi ya wawili,miaka ya nyuma msichana niliekuwa namfukuzia akaja na mwenzake tukala na kwenda klabu nikawalewesha sana,tulikuwa mbali na wanapokaa nikawaambia tuchukue hoteli ya karibu niwarudishe asubuhi,kufika hotelini nikamsomesha mhudumu akawaambia kuna chumba cha dabo kimoja tu,tukalala kitanda kimoja nikaanza na yule naemfukuzia alipolala nikamgeukia mwenzake,asubuhi nikaondoka na chupi zao ili yule niliemtaka ajue wameliwa wote,nikaacha na 20 ya nauli hajanitafuna tena.
 
Pole sana chalii karibu bongo daresalama Mi labda waje zaidi ya wawili,miaka ya nyuma msichana niliekuwa namfukuzia akaja na mwenzake tukala na kwenda klabu nikawalewesha sana,tulikuwa mbali na wanapokaa nikawaambia tuchukue hoteli ya karibu niwarudishe asubuhi,kufika hotelini nikamsomesha mhudumu akawaambia kuna chumba cha dabo kimoja tu,tukalala kitanda kimoja nikaanza na yule naemfukuzia alipolala nikamgeukia mwenzake,asubuhi nikaondoka na chupi zao ili yule niliemtaka ajue wameliwa wote,nikaacha na 20 ya nauli hajanitafuna tena.
Aisee....kweli kuna watu na watu....ulimkomoa kwa kufanya maajabu zaidi yake!!HONGERA!
 
Nyie nanyi:
  • mkipata miss independent mnalalamika, wana dharau na viburi
  • mkipata wategemezi it changes to mmefanywa ATM, basi ilimaradi there is no pleasing you!!!!!!!!!
Bottom line is, you all have choices to make, kulipa or kukataa , so kwanini mmshindwe ku-choose wisely? After all we as humans are all responsible for the decisions and choices we each make, so wanaume wa jf acheni kuwa CRY BABIES and MAN up!!!!!!!
 
Nyie nanyi:
  • mkipata miss independent mnalalamika, wana dharau na viburi
  • mkipata wategemezi it changes to mmefanywa ATM, basi ilimaradi there is no pleasing you!!!!!!!!!
Bottom line is, you all have choices to make, kulipa or kukataa , so kwanini mmshindwe ku-choose wisely? After all we as humans are all responsible for the decisions and choices we each make, so wanaume wa jf acheni kuwa CRY BABIES and MAN up!!!!!!!
Nimekusikia,naomba nikutoe next weekend lakini uje peke yako,sawa ?
 
Akijua nia yako ni kumtumia tuu hapo kwenye red na yeye lazma akutumie ili mkiachana awe katumika kwa faida
Mkuu wanaume wa dizain hii ni wakunyooshea kidole, wao ndio huwalea wapenzi wao ktk hali ya kuchuna wenzake muda mmwingi! Siungi tabia hii coz huwafanya wapenzi wao (wakike) hususani kuishi ktk mapenz kwa malengo ya kupata pesa! Nb. Kwa mtazamo wangu wanaume wenye pesha huwafanya wapenzi wao kuishi/wawe na njaa za pesa, huwafanya wajisahau ktk kutoa penzi la kweli kwa kung'ang'ania mapenzi ya pesa.
 
Ukianza nae kwa kutanguliza mshiko uhakikishe unaendelea hivyohivyo............ ukibadilika tu na yeye anabadilika!! MTOTO UMLEAVYOOO..........................
Tena ni ngumu kulihandle penzi la aina hii! Hili ni penzi la wizi!
 
manaume mengine hovyo sana, hujifanya zana hela wakati hazana mwisho wa siku wanabaki na maumivu pamoja na lawama. Wanaume wa dizain hii hovyo sana.
Nawe bwana huna za kutosha mfukoniUsimpeleke samaki samaki..Mwingize mama ntilie...Namaanisha unampeleka sehemu ambayo Wewe wa.weza ku afford ....
 
Wanatufanya kama ATM halafu ukimwambia lipa anasema yaani huna iabu dume zima nilipe...ukimuuliza si haki sawa mama anasema wewe huna maana loh
 
Wanatufanya kama ATM halafu ukimwambia lipa anasema yaani huna iabu dume zima nilipe...ukimuuliza si haki sawa mama anasema wewe huna maana loh
Wapuuzi sana, wameanzisha kamsemo ka kuwaponda wanaume wale wagumu wasio ruhusu kuchunika kwa kuwaita WANAUME SURUALI teh! wanawake njaa zenu punguzeni, then wanaume mazoba, matoa hela nayo yamezidi duh!
 
uporoto01Since when offer zikawa na limit and/or masharti?
Kwanza gari langu ni coupe watu wawili 2,pili hatutaongea kwa uhuru,ukija na mashosti zako options zitakuwa limited badala ya club hopping sehemu 3-4 kupata ideal itabidi tuishie moja tu.
 
Kwanza gari langu ni coupe watu wawili 2,pili hatutaongea kwa uhuru,ukija na mashosti zako options zitakuwa limited badala ya club hopping sehemu 3-4 kupata ideal itabidi tuishie moja tu.
Mwambie wazi gari lako ni kobe Combi, then akija na mashost utashindwa kumshona!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom