Njaa mbaya sana; Ni jambo gani la hatari uliwahi fanya ulipokumbwa na njaa?

Nikikwama kabisa watu ambao huwa wakwanza kuwatafuta kwa simu ni mamanzi. Hawa huwa wana huruma wananiokoa fasta, hususani nikiwaga nacho huwa sinaga hiyana. Hata nikikwama wanajua nimekwama.

Ila nihitimishe kwa kusema ukiona mwana amekutafuta umpige tafu hata buku tano aisee kama unaweza fanya hvyo.
 
Mimi muda huu ndio napitia kwenye hiyo hali..

Yaani leo asubuhi nimetoka kwenda kwenye kibarua fulani hv, asubuhi sijapata breakfast!

Nimerudi gheto hapa tangu saa 7 nimekuta jamaa ninaye-share nae gheto hayupo halafu kafungia unga ndani na simu yake haipatikani.

Mara ya mwisho kula ilikuwa jana saa 10 (huwa nakula muda huo tu basi endapo asubuhi nikipata breakfast).

Leo niliacha kupata breakfast kwa vile nilijua nitawahi kurudi kutoka kibaruani.

Maamuzi yaliyonijia ghafla ilikuwa nivunje kibubu changu nachowekaga buku buku zangu ili nipate kwenda kula lakini kwa bahati mbaya nacho kimefungiwa.

Najaribu kujisahaulisha hii njaa kwa kuperuz hapa JF lakn wap!

Bila kibubu leo kufungiwa ningekivunja, SHIKAMOO NJAA!
 
Kuna kipindi nilipitia hali mbaya hatari, nina buku tu, bahati nzuri geto nlikua na unga kidogo na sukari. Maji yenyewe ilikuatatizo yalibaki kidogo kinoma.

Nikanunua mkate wa buku, nilkua nakula kidogo kidogo na uji ili nisife njaa wakati natafuta namna.
Mkate ulinihurumia kwa siku kadhaa hadi nlipopata ankara kidogo
 
Siku moja nikiwa bado kijana wa makamo hivi,usiku ulipofika si nikanunua mihogo ya kukaanga.Bwana we kufika home nikasema nimeshiba,basi chakula wakala na kukimaliza chote kwa maksudi.Kimbembe katikati ya usiku tumbo likaanza kusoma empty empty we nikavumilia we lakini wapi.Nikaona nisije kufa kibudu si nikalia kwa sauti yes ,mom akaja kunigongea mlango na kuniuliza tatizo.Nikamwambia njaaa inauma,
Sasa si akawiata wengine wakaja kunicheka eti dume zima nalia njaa,nikapikiwa chai ya maziwa nikanywa ndo nikalala hivyo.
 
haya matunda hupatikana porini yanakuwa na miba miba sana hata lile tunda lake lina miba juu ila ndani ni matamu sana!!ila kwa njaa iliyotushika ilibidi tuyale tu huko porini ili tusife tukashushia na maji ya barabarani siku ikapita..shida ni haya matunda tuu sijui yana nini cha ziada ukila huku nyuma kunakuwa kwa bariidi km umekalia barafu!!hahaha

Hauko serious mkuu
 
Mimi muda huu ndio napitia kwenye hiyo hali..

Yaani leo asubuhi nimetoka kwenda kwenye kibarua fulani hv, asubuhi sijapata breakfast!

Nimerudi gheto hapa tangu saa 7 nimekuta jamaa ninaye-share nae gheto hayupo halafu kafungia unga ndani na simu yake haipatikani.

Mara ya mwisho kula ilikuwa jana saa 10 (huwa nakula muda huo tu basi endapo asubuhi nikipata breakfast).

Leo niliacha kupata breakfast kwa vile nilijua nitawahi kurudi kutoka kibaruani.

Maamuzi yaliyonijia ghafla ilikuwa nivunje kibubu changu nachowekaga buku buku zangu ili nipate kwenda kula lakini kwa bahati mbaya nacho kimefungiwa.

Najaribu kujisahaulisha hii njaa kwa kuperuz hapa JF lakn wap!

Bila kibubu leo kufungiwa ningekivunja, SHIKAMOO NJAA!
Daah pole mkuu ni mapito
 
Siku moja nikiwa bado kijana wa makamo hivi,usiku ulipofika si nikanunua mihogo ya kukaanga.Bwana we kufika home nikasema nimeshiba,basi chakula wakala na kukimaliza chote kwa maksudi.Kimbembe katikati ya usiku tumbo likaanza kusoma empty empty we nikavumilia we lakini wapi.Nikaona nisije kufa kibudu si nikalia kwa sauti yes ,mom akaja kunigongea mlango na kuniuliza tatizo.Nikamwambia njaaa inauma,
Sasa si akawiata wengine wakaja kunicheka eti dume zima nalia njaa,nikapikiwa chai ya maziwa nikanywa ndo nikalala hivyo.
Hahahah
 
Da kuna mapito nilipita mwaka 2018 sitasaha hapo ndio najua rafiki wa kweli mi yupi na mpenzi wa kweli nilipata kesi kazini nikatumia hela yot kusolve kimbembe sasa ni mama yangu mzazi ni mgonjwa kapooza nusu upande ...ili bidi nijifunze kupika maandazi tulawa tunashindia hayo hadi nilipopata muujiza kuna mtu alikosa kutuma hela akatuma kwenye mpesa yangu 280 k faster nikaitoa nikanunua mhitaji ...nikamuahidi kumlipa mwiaho wamwezi mshahara ulivyotoka nikamlipa nusu
 
Da kuna mapito nilipita mwaka 2018 sitasaha hapo ndio najua rafiki wa kweli mi yupi na mpenzi wa kweli nilipata kesi kazini nikatumia hela yot kusolve kimbembe sasa ni mama yangu mzazi ni mgonjwa kapooza nusu upande ...ili bidi nijifunze kupika maandazi tulawa tunashindia hayo hadi nilipopata muujiza kuna mtu alikosa kutuma hela akatuma kwenye mpesa yangu 280 k faster nikaitoa nikanunua mhitaji ...nikamuahidi kumlipa mwiaho wamwezi mshahara ulivyotoka nikamlipa nusu
Aiseee
 
Sijawahi kumbwa na njaa ya kutisha. Hapa ghetto wenzangu huwa wanafuja mali hela zinaisha wanashindia mihogo wakitaka niwakopeshe nawajibu ovyo kama "kwani wakati unazitumia na mademu zako hukujua njaa ni ya kila siku". Unakuta mtu katumia 60k juzi alafu leo hana maisha.

Zamu yangu ikafika simu yangu ikapotea, ninajua namba ya mama tu nikapiga kwa simu nyingine hapatikani siku nzima. Asubuhi sijala mpaka usiku kilichofata nilienda hostel usiku kwa ex wangu aniokoe akanipa 20k nikarudi ghetto na fujo kwa wana walionibania. Hiyo njaa ya siku hiyo naipa tuzo
Ukaludisha mpira kwa kipa
 
Back
Top Bottom