Niwaulize watu wa Arusha, mnataka mageuzi gani?

Niwaulize watu wa Arusha, mnataka mageuzi gani?

[SUB]Naomba nieleze wazi kuwa Mbunge wa Arusha siyo mvuta bangi wala mnywa Viroba. Ni mwanaharakati anayehitajika kuwatoa vijana katika kizazi cha giza, uoga na kutojiamini. Falsafa ya Lema haiingii akilini mwa wakandamizaji wa demokrasia wala wanaopenda kuwajengea watu nidhamu ya uogal!!.

Hawa ndio wanaomwona Lema kama mvuta bangi kwa sababu akili zao haziko smart na alert enough kumwelewa. Infact wao ndio waliopaswa kuitwa wavuta bangi na walevi na sio Lema.

Falsafa yake itachukua muda kukubalika kama ilivyokuwa kwa akina Galileo na Aristotles ambao idea zao zilikuja ku prevail zaidi katika vizazi vilivyofuata.

LONG LIVE LEMA!!!
[/SUB]
 
Arusha ata mfanye nini ccm njooni na marais wote wabunge wote Wa ccm monabana awezi pata ata robo kula

Nafurahi nikiona mabadiliko ya kweli huwa kama Arusha wanavyoifuta ccm maana ni ile ile kama kipindu pindu wameshindwa kikifuta sasa kipo kila mkoa

Tunataka CCM ifutike kabisa kwenye ramani hatuna cha ziada.
Ni bahati mbaya sana baadhi ya watanzania wahakubaliani na ajenda ya ukanda inayoongoza CHADEMA. Kwao mabadiliko ya kweli ni NGO yao kushika madaraka. Arusha iliyokuwa kitovu cha utalii sasa imegeuka uwanja wa maandamano. Bila kuwaza nje ya box, itachukua miaka mingi kupata mageuzi ya kweli. Mabadiliko tayari tunayo katika Magufuli.
 
baki na kadi yako utawahadithia hata wajukuu wako kuwa hapo zamani kulikuwa na na hiki chama cha mapinduzi ,arusha walishasahau kuwa kipo fikra nyingine kabsa mkuu hii ni kutokana na kuvunja nakukaidi umoja wa kitaifa .kwangu mimi ninavyooona wale wote waliochangia hali hiyo mnao wenyewe watoeni ,usije hapa kutafuta mchawi hutompata .
 
Yani komenti zingine humu dah, unashindwa hata kujua zimeletwa na watu wa dizaini gani.
Hivi kigezo cha ukabila ni kuona sehemu kubwa ya majimbo na kata zimechukuliwa na chama kimoja.au? Na kama ndivyo ssm wanakwepaje hapo kwnye mikoa kama.ya dodoma, singida nk?
Tuache ushabiki usio.na tija na tujikite kwenye kujenga hoja za maana. Haihitaji elimu kubwa kujua kuwa wanaogombea kwenye jimbo husika wengi ni wakazi/ wazaliwa kamili haswa wa jimbo hilo. Mbona davis mosha lalishindwa kulichukua jimbo la.moshi? Kama ni ukabila kwani mosha yeye sio mchaga?
Kama ni kichama zaidi then nafikiri ssm watakuwa wanaongoza zaidi
 
We Mvumbuzi akili za kuambiwa changanya na zako,pitia nukuu mbalimbali za Lema kwa jinsi alivyokuwa anampaka mavi Lowasa kuhusu ufisadi,ghafla akajiondoa akili na huo Msamiati akaufuta na kujikumbusha moyoni kila mara asije akaropoka mbele ya watu,nanyi woote bila soni mkafuata mkumbo,Siasa gani za kuwalazimisha watu kufunga biashara kwa hofu ya vibaka kupora mali,halafu mtu bila aibu anashangilia,Mtaji ni Mkopo wenye kuhitaji marejesho,kwa nini Maandamano yasifanyike Moshi Mjini au Boma Ng'ombe!WhatctOut meen!
 
yaani ntasafiri safari zote ila sio tar 13 dec,tukutane mjini kati shule ya uhuru cdm ON,ccm OFF.
 
chuga bwana ukipanda bus linaloishia arusha huwez ona mwanaume alovaa suruali yakitambaa
 
MONABAN ANATIA HURUMA
ARUSHA NA MASASI HUKO CCM sjui tu itafanya nn kipya ili kiweze kushinda
 
Kwa hiyo hao wa mkoa wa Dodoma, Tabora,na kwingine ambako ccm imevuna sana wabunge wao wamewaletea maendeleo yapi!? Elewa kuwa watu wa kasikazini wanajua kujitafutia mafanikio wenyewe hata mafisiem wakizuia bajeti isiende kule.

Umenena mkuu sisi sio waoga wa maisha Serikali ya KIKWE, ilitukomoa sana Ars na kumbe ndo alitia ugoro kwenye mafua matokeo wameyaona last election, Wenye kuogopa maisha kwa kuitegemea sisiemu ndo kila kitu ndo hawana huduma bora za kijamii na bado hawastuki, wakipata Elimu,Elimu,Elimu watakuja tuu.
 
For an intelligent person to say he likes CCM, there should be something wrong somewhere.....Kimsingi hilo lichama linapaswa kufutwa na hata magufuli anapaswa kuendelea kujitenga nalo...the part is a movement of thugs and crooks who are merciless to the poor and fellow country men...

Nataka kushauri magufuli akifute hicho chama...kina laana ndo maana taifa hailtakaa libarikiwe...hate it ...kina nape, makamba, kinana, kigwangala, lusinde, lubuva, nkamia, majizi ya escrow, all...wabunge wengi wameingia kwa mkono wa Rushwa bila aibu wanakwenda kuapa....
 
hatuitaki ccm hilo tu, na hata mkituchukia na kutubania tumeshazoea kupambana na maisha yetu so piteni hivi
 
Nafurahi nikiona mabadiliko ya kweli huwa kama Arusha wanavyoifuta ccm maana ni ile ile kama kipindu pindu wameshindwa kikifuta sasa kipo kila mkoa

..mbona yakitokea majanga mnamuomba Raisi awasaidie?.waambieni hao hao mlio wachagua.
 
Mimi ni mwarusha naishi Kisongo lakini kwa Arusha naona kabisa watu wengi hawajui hata maana ya uchaguzi, ndo maana nimeamua kupita kuleee. Kwao Lema ndo mtu wa maana kuwaletea maendeleo wakati hana issue kila siku ni maandano na wao ni kufuata mkumbo tuuu na kupigwa na police.

CHAGUA MONABAN BHANA ARUSHA TUPATE MAENDELEO.

Unamjua Philemoni wewe au unaongea ukiwa kisongo ya nachingwea
 
Back
Top Bottom