tentemente
Senior Member
- May 30, 2015
- 149
- 138
Kwamba labda mnataka kwa kuwa Magufuli amekuwa raisi awashitaki na kuwafunga watu fulani wenye kutuhumiwa kwa makosa yaliyoyumbisha taifa, (watajeni)
-labda mnataka watu fulani wafukuzwe chamani (watajeni)
-labda seraikari ifanye abc.. (taja)
-labda chama kifanye abc... (taja)
Kisaidieni CCM kufahamu haja ya mioyo yenu ili kipate wachumba (wabunge na madiiwani) wawili/watatu kutoka Arusha na Kilimanjaro, nina imani mtakisaidia kuelewa mambo muhimu ya kufanya kwa faida ya mikoa hiyo na taifa kwa ujumla, pia kujenga umoja wa kitaifa na kuepuka utengano maana tunakoelekea ss kuna siku watu watataka kujitenga na kuunda taifa lao au jamii fulani ya watanzania kuonekana ya wanaojikweza kisha tukabaguana waziwazi.
Tukisaidie CCM kirudi kuwa chama chakitaifa hata kama kuna vyama vingine.
(Siku nyingine tutashauri vyama vingine niini cha kufanya ili vijenge sura ya kitaifa
Ilani ya CDM mnayotumia haiwatoshi au mnataka mbaki chama kimoja?