Niwaulize watu wa Arusha, mnataka mageuzi gani?

Niwaulize watu wa Arusha, mnataka mageuzi gani?

Kwamba labda mnataka kwa kuwa Magufuli amekuwa raisi awashitaki na kuwafunga watu fulani wenye kutuhumiwa kwa makosa yaliyoyumbisha taifa, (watajeni)
-labda mnataka watu fulani wafukuzwe chamani (watajeni)
-labda seraikari ifanye abc.. (taja)
-labda chama kifanye abc... (taja)

Kisaidieni CCM kufahamu haja ya mioyo yenu ili kipate wachumba (wabunge na madiiwani) wawili/watatu kutoka Arusha na Kilimanjaro, nina imani mtakisaidia kuelewa mambo muhimu ya kufanya kwa faida ya mikoa hiyo na taifa kwa ujumla, pia kujenga umoja wa kitaifa na kuepuka utengano maana tunakoelekea ss kuna siku watu watataka kujitenga na kuunda taifa lao au jamii fulani ya watanzania kuonekana ya wanaojikweza kisha tukabaguana waziwazi.

Tukisaidie CCM kirudi kuwa chama chakitaifa hata kama kuna vyama vingine.

(Siku nyingine tutashauri vyama vingine niini cha kufanya ili vijenge sura ya kitaifa

Ilani ya CDM mnayotumia haiwatoshi au mnataka mbaki chama kimoja?
 
Mimi ni mwarusha naishi Kisongo lakini kwa Arusha naona kabisa watu wengi hawajui hata maana ya uchaguzi, ndo maana nimeamua kupita kuleee.

Kwao Lema ndo mtu wa maana kuwaletea maendeleo wakati hana issue, kila siku ni maandamano, na wao ni kufuata mkumbo tuuu na kupigwa na police.

CHAGUA MONABAN BHANA ARUSHA TUPATE MAENDELEO.

ungemshauri monaban agombee arumeru ili umchague, kwa sababu kisongo, si Arusha mjini tuachieni LEMA WETU.
 
Wewe unayewauliza wana wa Arusha wanataka nini we ni nani mpk uulize swali km hilo. Haujui hata unachoongea unadhani hapa ni sehemu ya porojo? Umbea km huu umetumwa na nani?
 
Wewe unayewauliza wana wa Arusha wanataka nini we ni nani mpk uulize swali km hilo. Haujui hata unachoongea unadhani hapa ni sehemu ya porojo? Umbea km huu umetumwa na nani?
Tutakuwa tunakumbushana kadri muda unavyosogea
 
Yaani wakati watu wakitafuta namna ya ku-balance bunge letu, bado kuna watu wanaamini katika bunge lenye wabunge wa chama kimoja. Nashindwa kuelewa, kwa nini mtu anakuwa na mawazo ya namna hii? Kama jamii, tutanufaika nini tukiwa na bunge lenye wabunge wa CCM peke yake?
 
Women think that handling periods is a big thing.They should know that to hide an erect penis in public is a real struggle by Robert mugabe.
Sasa na hili nalo la kudai likes tulichukulie kama real struggle??
 
Nimechangia kuwa tumeanzia kuifuta ccm kanda ya kasikazini, kadri elimu inavyoongezeka pande zingine za nchi, deleting ccm itaendelea, mbegu zingine zimeshamwagwa mkoa wa morogoro. Ccm have to die ili tz ipate kupona/kuokolewa.
Kweli kuongezeka kwa elimu tz unakupima kwa kufutika kwa ccm???
 
Nasikia Mkoa wa Tabora BRN imejibu,mtihani wa dalasa la saba imeshika nafasi ya mwisho.
 
Acha pumba wewe. Ilani ya chadema ishakufa
 
Mtaifuta mkoa mmoja mikoa mingine itakwepo .

Kuna mkoa hauna mbunge wa upinzani hata mmoja.
Ila hakuna mkoa usio na mbunge wa ccm.
Do the math.

mkuu hawa watu hawaelewi...wachukulie mfano wa lake zone ccm imetawala kila kona, shy mjini mpaka vijijini ccm! mwanza, geita, simiyu,bukoba n.k kote huko ccm imedhibiti maeneo...
 
Last edited:
Back
Top Bottom