Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,910
- 6,702
.
Hapo unaweza kupata busha ambalo utabaki nalo milele ukifanyiwa upasuaji kesho tu mapema ngoma inarudi kama ilivyokuwa
Ukifika hapo
UmetishaUkifika hapo
Kwanza unageuza ndala,kubazi au viatu
Pili unaingia hilo shamba kinyumenyume
Tatu unamwaga chumvi yenye ndimu kwenye shina husika
Nne unakata mua wako mzuri kwa kutumia panga upande ule usio na makali
Tano unatoka hapo shambani kinyumenyume
Ukitaka kumuweza mchawi tenda kinyume (sio cha maumbile lakini)Umetisha
Ukifika hapo
Kwanza unageuza ndala,kubazi au viatu
Pili unaingia hilo shamba kinyumenyume
Tatu unamwaga chumvi yenye ndimu kwenye shina husika
Nne unakata mua wako mzuri kwa kutumia panga upande ule usio na makali
Tano unatoka hapo shambani kinyumenyume
Miwa yenyewe mibayaa!!!.
, yaani umemuibia na kumpiga mikwara juu.Ukojolee kwanza alafu uvunje...
Pale ulipouvunja weka tomato ionekane kama damu...
Mwenye hilo Tangazo atahaha mwaka mzima kumbe hakuna lolote lile...
Wanawekaga kuepusha shari.Machawi haweki mikwara
Hivi wajaluo wa Kenya ni wachawi kama wa huku kwetu?Kwa akili zangu navyozijua mwenyewe, naona nikija na upanga na kufyeka kila kitu hapo.....