Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Tangu kuwa naye kwenye mahusiano nakosa amani kabisa. Maisha yangu hayakwendi kama ninavyotaka
Ni jirani yangu kwenye hii nyumba ya kupanga. N.B: Nimejenga mkoani, niko hapa Dar kikazi kwenye biashara yetu ya kulangua mabaro ya mitumba
Sina amani kwa kuwa muda wote najieka smart sana, hata ile socialization na majirani wengine kama zamani, sina. Yaani muda wote nakuwa najishtukia tu. Ananiganda kila nikanyagapo maskani, nikisema wacha nitulie pale nje nile kaupepo, na yeye ni lazima tu atasogea, hivyo kunidhurumu haki ya kuwa na wengine pale mtaani. Ni mpole machoni, lakini ana wivu sana na kuna kipindi alizichapa na binti wa mwenye nyumba kisa mapenzi tu
Hata kwenda haja kubwa tu limekuwa tatizo. Imenibidi nianze kutegesha alarm ya saa 8 usiku, maake nahisi najishusha thamani kuzuru choo huku akiwa ananiona. Hata kama siku haina mchongo itanibidi nitoke tu ili asinione mwanaume bwege. Yaani maisha yamekuwa vururu sana
Kuna kipindi alipatwa na kichaa cha kutaka kuunganisha mali zake na zangu, eti tuishi chumba kimoja. Kuna muda napata ving'asti huko nje, nashindwa kuvileta magetoni kisa yeye. Naishia kugharamia Guest
Nifanye nini kumkataa na kumuepuka?
Ni jirani yangu kwenye hii nyumba ya kupanga. N.B: Nimejenga mkoani, niko hapa Dar kikazi kwenye biashara yetu ya kulangua mabaro ya mitumba
Sina amani kwa kuwa muda wote najieka smart sana, hata ile socialization na majirani wengine kama zamani, sina. Yaani muda wote nakuwa najishtukia tu. Ananiganda kila nikanyagapo maskani, nikisema wacha nitulie pale nje nile kaupepo, na yeye ni lazima tu atasogea, hivyo kunidhurumu haki ya kuwa na wengine pale mtaani. Ni mpole machoni, lakini ana wivu sana na kuna kipindi alizichapa na binti wa mwenye nyumba kisa mapenzi tu
Hata kwenda haja kubwa tu limekuwa tatizo. Imenibidi nianze kutegesha alarm ya saa 8 usiku, maake nahisi najishusha thamani kuzuru choo huku akiwa ananiona. Hata kama siku haina mchongo itanibidi nitoke tu ili asinione mwanaume bwege. Yaani maisha yamekuwa vururu sana
Kuna kipindi alipatwa na kichaa cha kutaka kuunganisha mali zake na zangu, eti tuishi chumba kimoja. Kuna muda napata ving'asti huko nje, nashindwa kuvileta magetoni kisa yeye. Naishia kugharamia Guest
Nifanye nini kumkataa na kumuepuka?