Niulize Swali lolote nitakujibu

Niulize Swali lolote nitakujibu

Mungu hajajificha, anajionyesha katika KAZI ZAKE, KATIKA WENZETU, KATIKA NENO LAKE NA KATIKA SAKRAMENTI kama wewe ni Mkatoliki. Mungu yuko mahali pote na anatenda yote. Mungu akijifi2ha dunia itasimama. Kwa nini unasema mungu anajificha?

Sababu sijawahi kumuona.
Tena neno lake linajipinga
 
Kuna dada kanipita hapa kavaa jeans ya blue ana shepu bomba sana
Naomba number yake ya simu
 
Kuna dada kanipita hapa kavaa jeans ya blue ana shepu bomba sana
Naomba number yake ya simu

kwa nini umeogopa kumwomba mwenyewe? Ina maana ni mwoga kiasi hicho? Nitakurushia kwenye pm
 
Je wanawake wa rombo wameshatatuliwa matatizo yao!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom