- Thread starter
- #61
swali langu:Kwa nini umesema tukulize maswali
ili kwa uwezo alionipa mwenyenzi Mungu na kwa hekima, busara na elimu yangu kiduchu niweze kuwapa majibu ya kuridhika kuhusu hoja na maswali yenu
swali langu:Kwa nini umesema tukulize maswali
Haaa am soree ,ulivosema maswali yoyote nikajua ni uwanja wetu wa kujidai.
Nimeamua kurudi bro.
Vipi humu ndani?
Asante .
niko baa gani hapa??
Unachagua viswali vya rahisi ndio unajibu mengine unapotezea tu!!
Jipange uje siku nyingine tena.
Kuna watu wana komoa asee😀😀
Jumamosi hii nimejipanga kujibu swali lolote. Haya, wenye maswali niulizeni kuhusu jambo lolote. Kunihusu, kuhusu siasa, dini, sayansi, teknolojia, mahusiano n.k
Naona unachagua maswali!Mungu hajajificha, anajionyesha katika KAZI ZAKE, KATIKA WENZETU, KATIKA NENO LAKE NA KATIKA SAKRAMENTI kama wewe ni Mkatoliki. Mungu yuko mahali pote na anatenda yote. Mungu akijifi2ha dunia itasimama. Kwa nini unasema mungu anajificha?