Niulize, Nipongeze, Nikosoe, Nishauri

Niulize, Nipongeze, Nikosoe, Nishauri

Asante sana.

Unajua wakati mwingine tunaingia humu mitandaoni kujifariji tu ila nyuma ya keyboard tuna maumivu makali sana na huwa tunakufa kimya kimya.
Hakuna namna
Sijibiwi kwa nini lakini?
 
Leo Nusratt Mohammed nimepata nafasi kuliko siku zote tangu nimejiunga humu JF (Jamii Africa).

Hivyo basi kutokana na jambo hili natoa nafasi kwa member yeyote aliyepo MMU:-
Kuniuliza Swali,
Kunikosoa kwa lolote,
Kunishauri Chochote,
Kunipongeza kwa lolote.

ILA:
Maswali yasiyo na tija na yasiyo na mrengo wa MMU sitayajibu,

Maswali yatakayodhalilisha jukwaa sitayajibu,

Maswali ya kipumbavu na ya kipuuzi sitayajibu,

Maswali yaliyo nje ya uwezo wangu pia sitayajibu.

Kuna wale walio kwenye ignore list yangu, hao nao sitaweza kujibu maswali yao (wanajijua)

Nipongezeni, nishaurini, nikosoeni ili niweze kujirekebisha maana kuna watu humu wana hasira sana na mimi wakati sijawakosea lolote.


Najua kama nchi tunapitia kipindi kigumu sana nyakati hizi, ila tunaomba tuvumiliane tu wapendwa.

Mimi nawapenda sana wanajukwaa wa JF (JA)
Allah aendelee kutusimamia katika mapambano ya utafutaji wa riziki zetu.

Jioni njema.

View attachment 3315319
Je, ukikutana na secretarybird kwa bed 🛏️ unahisi itakuwaje.
Unahisi unaweza kupiga makelele ya furaha kwa nguvu, kunikodolea macho kama kanakwamba umetokwa na akili, kulia kwa maumivu kisa ukubwa wa dushelele au vyote kwa pamoja.

Ukipenda unaweza kunipa jibu kupitia PM
 
Hapana, sihitaji kuolewa tena.

Nimeshaamua kupambana kivyangu, hii inatosha.
Unaweza kuolewa na mwanaume mwenye watoto tayar na ambaye hatak kuzaa tena.
Na maisha yakaenda vizur.

Weng wanakuwa wakubwa na washamaliza ujana.... umri unavyozidi kwenda ni muhimu ukawa na mwenza mmoja anaeeleweka na kuheshimika.

Alaf Watoto wa wadogo zako na watoto wa kaka/dada zako ni wako. Hivyo ww una watoto ila sio wa tumbo lako..
Watunze ili waje wakutunze ukiwa huna nguvu huko mbele.

Dah unazeeeka na Tako lako 😂😂😂😂

Na pia usikomae na maisha mwenyewe shemej.

Na mtegemee Mungu.
In God we Trust...

Ushaur wangu Shemej
 
Ndio, kwa upande wangu ninaona umuhimu wa mwanaume.
Japo nilidhalilika ila nimeshasahau.

Hapana, kuwa mama wa nyumbani hakukufanyi kuwa mke bora kwa mumeo.
Kuwa mama bora ni zaidi ya kuwa mama wa nyumbani.
Mke bora ni yule anayemtii na kumuheshimu mume kwa madhaifu na mapungufu yake.
Wapo wamama wa nyumbani wengi sana na hawana ubora wowote katika ndoa zao.

Unajua katika hali ya sasa ya kiuchumi, kila mtu anapenda kuishi maisha mazuri.
Naona suala la kudate na wababa si jambo baya au zuri ni vile tu kama utatimiziwa malengo yako na kuwa na heshima kwa mubaba wako 🙂
Ok unaweza share kidg maumivu uliyosemea hapo juu?

Unaona watoto wetu wa kizazi hiki wakiwa kizazi chetu cha 2010's ?
 
Back
Top Bottom