CotterPin
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 2,398
- 5,006
Curvy woman.Hapana
Hapa leo ndio mtajua kila kitu kuhusu mimi
Curvy woman.Hapana
Hapa leo ndio mtajua kila kitu kuhusu mimi
Ndio, hakuna cha kuficha.Nuzu ulikuwa unajisell? 😹😹
Kipi kinamfanya mtoto wa kike aingie kwenye biashara ya udada poa kati ya sababu ambazo zinamsukuma kufanya hivyo ama za ushawishi kutoka kwa watu ambao wako kwenye hiyo biashara tayari😫😫Kiukweli lugha ya kiingereza siko vizuri kabisa, niwe tu mkweli.
Min nauliza maswali yoyote yale , nimelelewa watoto miaka ya kutosha nimegundua hakuna hakun kipya chini ya jua kama mhubiri anavyosemaSi urithi wa bibi upo..!! 😹
Min usinulize maswali ya kitoto mimi, muulize mleta uzi hayo maswali yako mfyuuu..!! 🤣
Umetengana na Mume wako.Hapana
Hapa leo ndio mtajua kila kitu kuhusu mimi
Akhuuu..!! 😹Ji sell basi kwangu na wewe 😂
Kiukweli Ushawishi ndio sababu kuu kuingia kwenye hiyo biashara ya ukahaba.Kipi kinamfanya mtoto wa kike aingie kwenye biashara ya udada poa kati ya sababu ambazo zinamsukuma kufanya hivyo ama za ushawishi kutoka kwa watu ambao wako kwenye hiyo biashara tayari😫😫
umejaribu kuonana na wataalamu ikashindikana?Yes.
But i can't give birth, so sad!
Pole kipenzi 😥🥹Ndio, hakuna cha kuficha.
Nilikuwa najiuza kutokana na hali ngumu ya maisha.
Ugumu wa maisha na hali ngumu ya nyumbani ndio iliyopelekea kuingia katika hatari hii.
Ila imebaki historia na sitaki kurudi tena nilikotoka
Nimetengana nae baada ya kugundua kuwa sina uwezo wa kuzaa na kupata mtoto.Umetengana na Mume wako.
Ukiwa unatoa ushaur kwa mwanamke/mwanaume ambaye anatatajia kuingia kwenye ndoa.
Ni kitu gani unamshauri asimfanyie mwenza wake na kwanini?
Naona utatatibu huu upo karibu kila kabila.hv wadigo ndo wale fundi wa kutengeneza nyash za watoto wa kike?
Sasa mimi mtoto wako? 😹Min nauliza maswali yoyote yale , nimelelewa watoto miaka ya kutosha nimegundua hakuna hakun kipya chini ya jua kama mhubiri anavyosema
.
Min nauliza maswali yoyote yale , nimelelea watoto miaka ya kutosha nimegundua hakuna hakSi urithi wa bibi upo..!! 😹
Min usinulize maswali ya kitoto mimi, muulize mleta uzi hayo maswali yako mfyuuu..!! 🤣
Na binti na kijana lamo na kijana yupo high schoolSasa mimi mtoto wako? 😹
Why?Yes.
But i can't give birth, so sad!
Wee ushaanza kulewa ita boda ikupeleke home ukapumzike..!! 😹Min nauliza maswali yoyote yale , nimelelea watoto miaka ya kutosha nimegundua hakuna hak
kipya chini ya jua kama mhubiri anav
yosema.
Na binti na kijana lamo na kijana yupo high school