Niulize, Nipongeze, Nikosoe, Nishauri

Niulize, Nipongeze, Nikosoe, Nishauri

Unajua hakuna aliyezaliwa na akili ya kujua lipi jema na lipi baya na vilevile katika utafutaji wa maisha kuna mengi hutokea pasi na wewe kujua.

Ushauri wangu ni kwamba watambue magonjwa yapoa.
Unajua madadapoa hudhani hii kazi ni ya haraka katika upataji wa pesa ila ina riski kubwa sana.

Huko nilikuwepo ila nilipambana kutoka kwa kuwa inadhalilisha sana utu.
Nawashauri watafute biashara za kufanya hata zenye mitaji midogo.

Waanze na walichokuwa nacho
Unadhani kati ya pulling factors na pushing factors zipi zina nguvu ya kumuingiza mtoto wa kike kwenye biashara ya udadapoa?
 
@nusratt,unajua mwenyewe nilichokwambia kule pm na unajua ulichonijibu,ila mpaka sasa sijaona call au sms yako,unamaanisha nini?
Unajua mitandao hii isitufanye kwenda kinyume na maadili ya Kitanzania.
Usipende kugawa namba zako za simu kwa mtu mwenye profile na Id ya kike.
Kuna wabaya na wema.

Nakutafuta
 
Ndio,
Nina miaka 32,
Ninaishi mkoa wa Dar es Salaam,
Kabila langu ni Mdigo,
Niliolewa hapo awali, ila nimeachika,
Hapana, sikubahatika kupata mtoto mpaka sasa
Kila la kheri shemej....

Atleast sasa nakujua .

Ushauri:-
Ukipata mwanaume anaeeleweka hata kama ni muwe wa mtu, zaa nae.
Mtoto anakuja na baraka zake.
 
Unajua hakuna aliyezaliwa na akili ya kujua lipi jema na lipi baya na vilevile katika utafutaji wa maisha kuna mengi hutokea pasi na wewe kujua.

Ushauri wangu ni kwamba watambue magonjwa yapoa.
Unajua madadapoa hudhani hii kazi ni ya haraka katika upataji wa pesa ila ina riski kubwa sana.

Huko nilikuwepo ila nilipambana kutoka kwa kuwa inadhalilisha sana utu.
Nawashauri watafute biashara za kufanya hata zenye mitaji midogo.

Waanze na walichokuwa nacho
Nuzu ulikuwa unajisell? 😹😹
 
Kila la kheri shemej....

Atleast sasa nakujua .

Ushauri:-
Ukipata mwanaume anaeeleweka hata kama ni muwe wa mtu, zaa nae.
Mtoto anakuja na baraka zake.
Sitaweza kuja kuzaa kwa maana nilipata shida kwenye kizazi, hivo ikapelekea kutolewa.
Siwezi na ndio sababu inayofanya wanaume wengi kuachana na mimi baada ya kuwapa ukweli huu.
 
Back
Top Bottom